dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,303
- 5,831
Hapana, vinapikwa usiku huo huoKiporo hiko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana, vinapikwa usiku huo huoKiporo hiko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeee hyo ni nouma...Hapana, vinapikwa usiku huo huo
Ya, bila kula usiku, mchana njaa yake ni hatariAiseeee hyo ni nouma...
Mpo serious na daku kiasi hicho ahahah
Morning gloryDaku ..daku kula ..daku la wakubwa ndio mida yake hii
Hahahahaha..Morning glory
Kipindi hicho alikuwepoHahahahaha..
Ahahahahahaa 😂😂😂😂😂4:19 AM Jana mida kama hii nikasema nisile Daku niskilizie hadi saa 10 na Nusu,,, nikapitiwa na usingizi kwenye Kochi kushtuka saa 2 Asubuhi kidogo nilie…
Leo sirudii huo ukhanithi nakula sasa hivi 😂
Tunakula daku la wakubwa4:21 AM Amkeni mle daku ☺️☺️
Amkeeeni kwanini mnalala hadi saivi kwani nyie mna hela?😄😄
Astaghafirullah 😁🤣Tunakula daku la wakubwa