Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,908
- 82,179
2:38 AM seyo
Pamoja comrade💪0237Hrs
Sign Out 👋🖐️👋
See yah next time pMlinzi naenda kupiga patrol jukwaa la mbele pale 👋
Joto sio zuri, sema malaika wangu hayupo, ninge funga ka AC ka mchongo 🤣Wanasema Liwalo Na Liwe Ila Joto Hapana
Sawamsindikizaji leo nipo
Hujawahi kuona baada ya kuleta ubaridi likashusha joto na kuamua kulizimia mbali? Hali ya pangaboi au fen ya kawaida kusupply hewa yenye joto au ubaridi itategemea na kiwango cha hewa kinachoingia na kutoka ndani ya nyumba/chumba chako (Air ventilation). Kama ndani ya nyumba yako kuna mgandamizo wa hewa na nje joto ni kali it's obviously pangaboi lako litasupply hewa yenye ujoto na kinyume chake ndio hivyo hivyo mkuuHilo Ndio Kiboko Ya Joto Katikati Ya Mji Kwa Maisha Ya Kila Siku Ya Uswahilini 😂😂😂