Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,590
- 11,379
04:34
Shukrani ndugu[emoji120][emoji120]Unastahili pongezi
4:53 I mean no malice to nobody
Nakuachia kulinda ndugu4:53 I mean no malice to nobody
Madam, kulinda ni jukumu langu, so hayo mengine ni maamuzi yakoNakuachia kulinda ndugu
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Madam, kulinda ni jukumu langu, so hayo mengine ni maamuzi yako
Hongera na hilo baridi la Moshi at this dawning hours haujasinzia haha👍Nmelinda hili jukwaa la jamii forum usiku wa manane leo
Kuna siku nilikucheki humu saa 9 ukawa unakoroma tu kama beberu😀01:07 amka uka kojoe bhana 😀😂
Nime cheka Sana🤓, SIku ile sikuwa online kwa muda.Kuna siku nilikucheki humu saa 9 ukawa unakoroma tu kama beberu😀
Ndiyo hukua online coz ulilala fofofo 😀😀 unajionaga mjanja kumbe huwa unalala kama umezima kabisa😀Nime cheka Sana🤓, SIku ile sikuwa online kwa muda.
Uko poa lakini!
Sometimes Akili Ina choka, Sema uli nibahatisha tu😆.Ndiyo hukua online coz ulilala fofofo 😀😀 unajionaga mjanja kumbe huwa unalala kama umezima kabisa😀
Kisa?leo nipo mpweke
Nipo hapa mpaka asubuhi
Bila sababu tu!Kisa?
mbona ghafla,Bila sababu tu!
Sometimes huwa inatokea.