mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,807
uchokozi tu😂Ni nini? Io
uchokozi tu😂Ni nini? Io
Shwarii kabisaa aisee karibu tupashe mikonoshwari mzee
Hivi fazahouse hamjambo maana yake ni mtu anauliza kama hamna jambo au kunajambo reverse? 😀😀😀Hamjambo vijana wa nyerere
unamaanisha kujimenya??Shwarii kabisaa aisee karibu tupashe mikono
[emoji16][emoji16][emoji16] manaake mnajambo?? Hapa utanipa taarifa yoyote nzuri au mbaya...kwa mfano sijambo ila kichwa kinauma kidogo au hatujambo sijui wewe...hapo utataka kujua taarifa zangu[emoji16][emoji16]Hivi fazahouse hamjambo maana yake ni mtu anauliza kama hamna jambo au kunajambo reverse? [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nacheza gemu la call of duty kwa simuunamaanisha kujimenya??
Ninakusoma vilivyoMnyonge mnyongeni tuu.. Poa😀
hauko sober wewe😂Mambo mambo mambo wew amka amka amka nakwenda na biti jamani usitunze sana ukaacha ugomvi
Wanatuchanganya tuu😂😂😂😂😂hauko sober wewe😂
Sobriety mkuu kula vitu wew wacha manenohauko sober wewe[emoji23]
😄 😄 😄Mambo mambo mambo wew amka amka amka nakwenda na biti jamani usitunze sana ukaacha ugomvi