simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] ..umetishaNow Listening
Issa Kijoti _ Wapambe msitulaamu
Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] ..umetishaNow Listening
Issa Kijoti _ Wapambe msitulaamu
Hahahaaa Eti ni vibaya mwanaume kusikiliza taarabuMkuu [emoji23][emoji23][emoji23] ..umetisha
Kagua tu mzee watoro wapo wengi kweli yaan.Nakagua lindo
God save us
Kwa pwani naona kama ni utamaduni wao ila kwa sisi watu wa bara sio kawaida. Ila nadhani ni tulivyokuzwa tu kuamini taarabu ni ya kike ila kwa upande mwingine ni genre ya muziki kama mingine tu. Kama unainjoi kuiskiiza just do it, maisha ni mafupi bro kutafuta acceptance na approval za watuHahahaaa Eti ni vibaya mwanaume kusikiliza taarabu
Wewe namba mojaKagua tu mzee watoro wapo wengi kweli yaan.
Hata sijali.. nikiwa natamani kusikiliza chochote nasikiliza ilimradi muziki ndio kilevi changuKwa pwani naona kama ni utamaduni wao ila kwa sisi watu wa bara sio kawaida. Ila nadhani ni tulivyokuzwa tu kuamini taarabu ni ya kike ila kwa upande mwingine ni genre ya muziki kama mingine tu. Kama unainjoi kuiskiiza just do it, maisha ni mafupi bro kutafuta acceptance na approval za watu
Af umenikumbusha enzi hizo nishawahi kukaa TMK sokota. Kuna ndugu yetu mmoja alikuwa ana beef na wenzie kwa sababu ya man flani. Asa walikuwa wakimuudhi anaenda kuwawekea taarabu moja inaitwa huliwezi bifu. Kwa frequency ya kuweka ule wimbo daily nikajikuta nimekariri hadi melodies na popote nikikutana nao huwa nammiss na life letu back in the days [emoji4][emoji4][emoji4]Hahahaaa Eti ni vibaya mwanaume kusikiliza taarabu
Ohh nilijua fan wa WCB na gospel tuHata sijali.. nikiwa natamani kusikiliza chochote nasikiliza ilimradi muziki ndio kilevi changu
Mzee af jina lako kama la nshomile [emoji23][emoji23]James Cameron
Jana nilikuwa naangalia series tu.Wewe namba moja
Sokota jirani na sugar ray?Af umenikumbusha enzi hizo nishawahi kukaa TMK sokota. Kuna ndugu yetu mmoja alikuwa ana beef na wenzie kwa sababu ya man flani. Asa walikuwa wakimuudhi anaenda kuwawekea taarabu moja inaitwa huliwezi bifu. Kwa frequency ya kuweka ule wimbo daily nikajikuta nimekariri hadi melodies na popote nikikutana nao huwa nammiss na life letu back in the days [emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah nmecheka kinoma mzee, hapana aisee, mm sitokei kanda ya ziwaMzee af jina lako kama la nshomile [emoji23][emoji23]
Nope tulikuwa tunashukia sokota ila home ni yombo close na soko la mitaa ile (sijui hata kama bado lipo)..Sokota jirani na sugar ray?
Sikutokea mitaa hii. Af Bro wewe siries hadi night kali tu au una insomia [emoji4]Jana nilikuwa naangalia series tu.
Nimeona jina limekaa kwa lafudhi ya kule au ni kibantu tu mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah nmecheka kinoma mzee, hapana aisee, mm sitokei kanda ya ziwa
Dah ha haNope tulikuwa tunashukia sokota ila home ni yombo close na soko la mitaa ile (sijui hata kama bado lipo)..
Kibantu tu mzee, wala sitokei hukoNimeona jina limekaa kwa lafudhi ya kule au ni kibantu tu mzee
[emoji23][emoji23] mjini watu hawalali babu ukilala unalala ww tu mm kawaida ikifika saa 0300 ndio muda wa kulala asubuhi unaamka unaenda kulipa madeni.Sikutokea mitaa hii. Af Bro wewe siries hadi night kali tu au una insomia [emoji4]