skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,390
Eti we unapenda kufanya jambo lako zuri ulililoliandaa vyema gizani?Rich Melanin Girl
Eti we unapenda kufanya jambo lako zuri ulililoliandaa vyema gizani?Rich Melanin Girl
wapo ambao wako friendly, ukiwaanzishia na wao wanakuendelezeaStori zenyewe hapa zina wenyewe. Siyo rahisi kupazoea hapa. Ukiwa mgeni hapa utapata tabu sana kwa sababu watu wanaongea wanafahamiana. Utaanzaje kuingilia mazungumzo? Hapa unaingia unapiga mbinja usingizi ukikujia unakwenda zako kulala unawaachia wenyewe [emoji16][emoji16][emoji16]
Hivi kweli mwanaume unaelala na huyu Mrembo gizani we c taahira kabisa?Game likiwa on...na bia za bariidiiiiii....Ukiongezea na chicken wings ...View attachment 872840
.....Eti we unapenda kufanya jambo lako zuri ulililoliandaa vyema gizani?
Ndo nn?.....
[emoji106][emoji106][emoji106]wapo ambao wako friendly, ukiwaanzishia na wao wanakuendelezea
Toa sumu mwilini mama.....
unajua nature ni cruel saa zingineWanaume tungekuwa kama nyuki dume sijui ingekuwaje. Kuna watu hata darasa la 7 wasingemaliza [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 872836
Mother nature takes care of her own....Ila kwa hili nyuki dume dah !!!unajua nature ni cruel saa zingine
Angalia usiingushie upande wako mkuuMalizieni lindo salama wakuu. Nawaombea. Mi naangusha gari [emoji2221][emoji2221][emoji2221]View attachment 872844
kama ni chocolate. huyu ni zile 99% cocoa. Sensational!
Hakuna ukweli katika hiloni kweli mumelala wote
ahaa ww nimekuonaHakuna ukweli katika hilo
Hahahaa halafu sentensi yako tata mkuu "Mume lala wote"" ukitafuta lafudhi ya kihindi ni maana kuwa wanaume wote wamelala?ahaa ww nimekuona
Malizieni lindo salama wakuu. Nawaombea. Mi naangusha gari [emoji2221][emoji2221][emoji2221]View attachment 872844