Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,831
no, mimi napenda coca zaidi baby!Na pepsi baridi
no, mimi napenda coca zaidi baby!Na pepsi baridi
mishkaki nundu ndio ipoje hiyo!!! ukanitoe ushamba sasa...Huyo anakula mtu chake,mimi na wewe mishkaki nundu,mapizza mabagabaga
Nakula [emoji205] [emoji173] na [emoji203] ..[emoji12] [emoji12]Huyo anakula mtu chake,mimi na wewe mishkaki nundu,mapizza mabagabaga
Aseee si mchezo ,vitam tam ,wengine tutatapikakingine na soda tam tam ya kushushia pizza baby mama! [emoji39][emoji39]
Hahaha, siwezi angukaunaenda wapi,angalia usidumbukie mtaroni hizo glass za bia si mchezo
Hujawahi kula nundu?ile kama mafutamafuta imechomwamishkaki nundu ndio ipoje hiyo!!! ukanitoe ushamba sasa...
Mmmh munalindiana usiku? Na ofa ya vitam vitam ,asee
Ndio uende umepewa ofamishkaki nundu ndio ipoje hiyo!!! ukanitoe ushamba sasa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]never mind baby-mommaa,.mambo mazuri kusaidiana,.ukuje kwa breakfast baadae,.
utanletea zawadi nyama ya kima roast na ndizi 2Nakula [emoji205] [emoji173] na [emoji203] ..[emoji12] [emoji12] Aseee si mchezo ,vitam tam ,wengine tutatapika Hahaha, siwezi anguka
Mtu chakeeee,we huna chako atii[emoji56][emoji23]Hahaha, mnakula chapati mnasema pizza, mkate wa skonzi mnaita baga,ngoja mie nile [emoji205] Ooh [emoji115] asee kumbe mutu na baby yake
sijawahi, nayo inapatikana hapo mikocheni?Hujawahi kula nundu?ile kama mafutamafuta imechomwa
wozaaa baby mommaa mtiifu hakuna drama,b'fast wapi sasa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]never mind baby-mommaa,.mambo mazuri kusaidiana,.ukuje kwa breakfast baadae,.
"kima roast na ndizi 2" aisee!!utanletea zawadi nyama ya kima roast na ndizi 2
hahaha acha ukorofi sasa...kwanini unaharibu jina la mwenzako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji20][emoji20]Mtu chakeeee,we huna chako atii[emoji56][emoji23]
Chagua ww location,.wozaaa baby mommaa mtiifu hakuna drama,b'fast wapi sasa?
Eeh 'NUNDU' ina 'mafuta mafuta' asee mnapeana vinono tuHujawahi kula nundu?ile kama mafutamafuta imechomwa
Unatatipikautanletea zawadi nyama ya kima roast na ndizi 2
Bana wee kweli sina changu,nitafanyaje sasa hkn namna,Mtu chakeeee,we huna chako atii[emoji56][emoji23]
Hahaha, nenda ukapewe ofa ya NYAMA YA 'NUNDU' [emoji12]sijawahi, nayo inapatikana hapo mikocheni?
Si mtu chake jomoniiii,.au nimekosea mahali?![emoji85]hahaha acha ukorofi sasa...kwanini unaharibu jina la mwenzako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji20][emoji20]
Usijali Mungu atakufanyia wepesi,inshaAllahEeh 'NUNDU' ina 'mafuta mafuta' asee mnapeana vinono tu Unatatipika Bana wee kweli sina changu,nitafanyaje sasa hkn namna,Hahaha, nenda ukapewe ofa ya NYAMA YA 'NUNDU' [emoji12]