PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,178
:israel:,,,,,{DR WILBROD PETER SLAA},,,,,:cheer2::cheer2::cheer2::cheer2::welcome::welcome::welcome:......
Chadema mtaishia ubunge, urais mutausikia tu.
Bila kuchakachua na kutumia polisi kukwapua ushindi kwa nguvu, CCM haiwezi kushinda kamwe.Hata mwaka 2010 Mzee Slaa aliibuka kidedea hapa JF lakini kwenye uchaguzi halisi akaangukia pua. Kura za mitandaoni sio za kutegemea sana, mtu mmoja anaweza kupiga kura zaidi ya mara moja, Pia wote tunafahamu huu mtandao wa JF umesheheni wanazi wa CHADEMA.
Edrward Lowassa
Wilbrod Slaa
Mizengo Pinda
Samwel Sitta
Hawa uliowaweka wote hawafai.
So ungeweka na kisanduku kingune cha hapana,maana hapa naona unataka kuwalazimisha watu kuchagua.
Hata mwaka 2010 Mzee Slaa aliibuka kidedea hapa JF lakini kwenye uchaguzi halisi akaangukia pua. Kura za mitandaoni sio za kutegemea sana, mtu mmoja anaweza kupiga kura zaidi ya mara moja, Pia wote tunafahamu huu mtandao wa JF umesheheni wanazi wa CHADEMA.
Hata mwaka 2010 Mzee Slaa aliibuka kidedea hapa JF lakini kwenye uchaguzi halisi akaangukia pua. Kura za mitandaoni sio za kutegemea sana, mtu mmoja anaweza kupiga kura zaidi ya mara moja, Pia wote tunafahamu huu mtandao wa JF umesheheni wanazi wa CHADEMA.[/
QUOTE]
Msalani,unaamini uchaguzi ulikuwa huru na wa haki?Mimi siamini.Inawezekana Dk.Slaa hakushinda lakini matokeo ya kweli hayakuwa yale yaliyotangazwa.CCM wanayajua matokeo ya kweli ndiyo maana walighafirika sana baada ya uchaguzi.walionyesha hivyo kwa kumfukuza Tido Mhando,kuanzisha katiba mpya,kujivua gamba nk.