JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

Uchaguzi Wa Urais Ukiitishwa Leo Nani atashinda?


  • Total voters
    273
  • Poll closed .
Mnajitekenya halafu mwacheka wenyewe!. Mwisho wa siku wimbo uleule "kura zimeibwa"
 
Kweli Bavicha na Bawacha wamejaa humu JF! Ila kwa ufupi tu, Dr Slaa Ikulu hatoingia.
 
Edrward Lowassa
Wilbrod Slaa
Mizengo Pinda
Samwel Sitta
Hawa uliowaweka wote hawafai.
So ungeweka na kisanduku kingune cha hapana,maana hapa naona unataka kuwalazimisha watu kuchagua.


MKuu Mwingereza zingatia maoni ongeza kisanduku kingine cha Others. maana kuna mashabiki wa makamba, zitto na Membe utakuwa hujawatendea Haki.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom