JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

Uchaguzi Wa Urais Ukiitishwa Leo Nani atashinda?


  • Total voters
    273
  • Poll closed .
Hahahahaha.....hawa ndio wananchi hakyamama......bado TISS tu kuamua.........
 
Ukawa, wanajipa moyo kweli....!!!! Huku JF ni almost 90% Ukawa...!!! So Rais wa huku JF ni Slaa....!!!

But hawataamini macho yao, JINSI LYAGWANAN Lowassa akichukua nchi softly....!!!! Dr. Slaa hawezi kabisa to compete with Lowassa...!!!!

Lowassa 2015

Kama ndiyo hivyo basi Slaa ndo anayefaa hata kama hatashnda mana humu JF na home of great thinkers.HATA HVYO FANYA UTAFITI WOWOTE WA WAZI,DR YUPO JUU.HADI DARADARANI!
 
Lowasa is the next president of Tanzania,viva LOWASA RAISI 2015
 
naomba msaada namna ya kupiga kura.nimebonyeza kwenye "vote now" lakini hainipi option
 
JamiiForums imejaa wasomi, hakuna msomi anaejitambua akakubali kumchagua viongozi walao mali za umma.
 
Back
Top Bottom