Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,537
Dr. Slaa
Ukawa, wanajipa moyo kweli....!!!! Huku JF ni almost 90% Ukawa...!!! So Rais wa huku JF ni Slaa....!!!
But hawataamini macho yao, JINSI LYAGWANAN Lowassa akichukua nchi softly....!!!! Dr. Slaa hawezi kabisa to compete with Lowassa...!!!!
Lowassa 2015
Chadema mtaishia ubunge, urais mutausikia tu.
Angeanza na familia yake aliyoitelekeza kisa kimada.