Wapiga kura wa TZ siyo memba wa JF,waliojaa humu ni MASHABIKI JINA TU hawana hata vitambulisho vya kupigia kura
Hata mwaka 2010 Mzee Slaa aliibuka kidedea hapa JF lakini kwenye uchaguzi halisi akaangukia pua. Kura za mitandaoni sio za kutegemea sana, mtu mmoja anaweza kupiga kura zaidi ya mara moja, Pia wote tunafahamu huu mtandao wa JF umesheheni wanazi wa CHADEMA.
Ungeweka na Zitto mngejua nani ni nani.
Lowassa