JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

Uchaguzi Wa Urais Ukiitishwa Leo Nani atashinda?


  • Total voters
    273
  • Poll closed .
Mods,Mimi nimewakosea nini.mbona hamnipatii maelekezo.nashindwa kupiga kura.nimeomba toka jana lakini kimya.

Nenda pale juu kabisa (upande wa kushoto) pameandikwa Touch, bofya hapo.
Baada ya hapo, shuka chini kabisa, utaona maneno Full Site na Wap Site, sasa wewe bofya kwenye full site, kisha nenda kwenye jukwaa la siasa na itafute thread husika (ambayo ni hii) kisha piga kura yako.

Kumbuka wakati huo mwonekano wa JF utakuwa umebadilika, hivyo utatakiwa kurudi kwenye Wap Site tunayoitumia wenye simu.
Ili kurudi, utashuka mwishoni mwishoni, utatafuta neno Desktop na utabofya hapo.
Kisha utachagua Wap site na utabofya hapo.
 
Ikiwa ni mwaka kamili hadi pale tutakapompata rais mpya, tassisi ya TWAWEZA ilitoa ripoti ambayo wengi hawakukuliana nayo. Nasi kama raia ambao wanapenda ukweli, sinabudi kuanzisha huu uzi kuangalia ukweli kwamba uchaguzi ukiitishwa leo kati ya Dr. Slaa, Edward Lowassa, Mizengo Pinda na Samwel Sitta nani atashinda?

Tafadhalini kila mwanajukwaa aliyesajiliwa apige Kura tujue mbivu na mbichi wa TWAWEZA

Yaan nyny munashobokea wazungu vibaya hadi uzalendo wako unamashaka eti ww nan?
 
sijui hawa jamaa walimuoji nani maana nipo hapa dar naishi tmk naangaikia maisha kinondoni wilaya zote tatu kilasiku lazima nizunguke sijakutananao wala kumsikia mtu !
 
Kwa utaratibu huu itakuwa vigumu kupa idadi ningeomba kama inawezekana kuwa uwezo wa voting ambapo mtu atakakiwa kuweka tick alafu zinajiongeza na kuzuia same is kupiga kura zaidi ya mara moja .JF wanaweza organise kitu kama hicho hapa, mfano wa http://www.maoniyako.com
#mwingereza
 
Wapiga kura wa TZ siyo memba wa JF,waliojaa humu ni MASHABIKI JINA TU hawana hata vitambulisho vya kupigia kura
 
Dr . Slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Pimbi wewe umeharibu kura yako
 
Humu JF Slaa atashinda,tokezeni nje sasa ndo mtajua mbivu na mbichi
 
Back
Top Bottom