JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

Uchaguzi Wa Urais Ukiitishwa Leo Nani atashinda?


  • Total voters
    273
  • Poll closed .
Wapiga kura wengi hawapi jamiiforums pengine hata hawaijui kwa hiyo utafiti wa humu hauwezu kuwakilisha umma wa watanzania.
 
Slaa arejee karatu ajaribu bahati yake kwa kugombea ubunge. Pikipiki haina reverse.

Kampen unazozipiga huku haziwezi badili matokeo.. Ungepiga kura yako kuokoa aibu anayoipata Lowa Hasa.. Kutoka kwa watu wenye fikra pana..

Team Lumumba wote wamekukimbia na wengine wamebadili ID wakampigia Dr slaa kama.

Pole MSALANI
 
Naona Pro-Chadema JF mmeamua kuliwazana na kufarijiana mmeamua kutumia ID's tano tano kujipigia kura, mnasahau kuwa Tume ya Uchaguzi "NEC" inakataza kupiga kura mara mbili.

teh teh teh
 
Dr.Slaa ataendelea kuwa rais kivuli muda wote wa maisha yake ya kisiasa.
 
Naona Pro-Chadema JF mmeamua kuliwazana na kufarijiana mmeamua kutumia ID's tano tano kujipigia kura, mnasahau kuwa Tume ya Uchaguzi "NEC" inakataza kupiga kura mara mbili.

teh teh teh
Mkuu Ritz ...

Umeniacha hoi...Wamesahau kuwa JF haiwezi kuleta picha halisi, ukichukulia kuwa mtandao huu umefurika misukule wa CHADEMA.

Waache waendelee kujidanganya, halafu mwisho wa siku wanasema wameibiwa kura!
 
Last edited by a moderator:
Dr.Slaa ataendelea kuwa rais kivuli muda wote wa maisha yake ya kisiasa.

ha ha ha ha!

Nimetoa ushauri mzuri kuwa akajaribu tena ubunge karatu, wafuasi wakaanza kunitukana, kumbe mimi tayari nimeshaona mbali.
 
Back
Top Bottom