JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

Mnaotaka muwekewe namna ya kubadili username hilo msahau kabisaaa, niliwahi kua kwenye mtandao mmoja wa live talk kulikua na hiyo option ya kubadili username looh mtu anakucopy name yako anakuchafua atakavyo kisha anarudisha jina lake wewe unaanza kuhaha kujisafisha maana watu wanajua ni wewe, ilikua mbaya sana.... kwa humu pia wanadhibiti hayo mambo ya multiple usernames.

Kitufe cha Dislike, cha nini sasa kama hujapenda post au comment ya mtu pita kimya kimya au sonya huko ulipo basi endelea na mada zingine.

Guys, mkumbuke hii ni FORUM.
Mshahara ungekuwa umetoka ningekutumia woteeee
 
Tulishasema ni vigumu kuweka dislike; iliwahi wekwa ikawa league ya kisiasa ku-discredit hoja. Nadhani kiungwana mtu akiandika kitu hukubaliani naye, mpotezee wala usigonge LIKE. Au, mjibu kwa hoja makini zaidi
alaaa kumbe" mmewaza vyema sana', hayo ma dislikes yata totoa ugomvi humu" usiokuwa na mwisho" at end of the day", Jf itaonekana ni kama genge la wahuni
 
Hii kitu ni mbaya sana, kama hujapenda ujumbe wa mtu upotezee sio lazima u dislike.

Hii utawavunja moyo wengi na kukosa kujiamini, hasa unapoona michango yako mingi imejaa dislike.

Mwisho wa siku wote tutakuwa na mawazo yanayofanana ili kukwepa dislike...kitu ambacho sio afya njema kwa JF.
Sahihi sana. Sidhani kama nilieleweka. Siungi mkono kitufe cha Dislike. Ili kubalance Ukitoa Dislike ionekane kwako Umetoa ili Tuone Umedis mara ngapi.
Mfano: idawa una like 12000
Umedislike mara 527.
Sijui kama itakupa moyo wa kuendelea kudislike kwa chuki. Ila isiwepo kwenye majukwaa ya Itikadi ni tatizo sana hii. Najaribu kuweka sawa maoni yangu. Ni vema kisiwepo hiko kitufe kabisa. Shukran.
 
Maxence Melo napenda kushauri ongezeni jukwaa la ujenzi ikiwa ni hitaji la muhimu kwa member wa JF ili kuweza kupeana elimu kwenye sekta hiyo nyeti hapa nchini,kama mmeweza kuweka jukwaa la Mahusiano,JF doctors,jukwaa la elimu n.k, basi pia naamini hamshindwi kuweka jukwaa la ujenzi kwa umuhimu wake.....Asante
Maxence Melo Maxence Melo Invisible Moderator JamiiForums
hapo ni nyie wenyewe mfungue thread iwe special for that sio lazima liongezwe jukwaa lingine
 
Kuna Wakati ukijaribu kicomment kwa kutumia browser inakua kama inatema Yaani comment yako haionekani mpaka urudie tena ndio inakubali!
Tatizo huwa nini?
 
Mmiliki wa hili janvi unajitahidi sana kupigania Uhuru wa kupata habari mitandaoni ,nashangaa tuzo wanazopewa akina diamond kwann usipewe MTU makini kama wewe (charismatic fella)

Hongera Kwa kutuleta pamoja wahenga
tanzania haina utaratibu wa kutukuza/kuthamini .kuheshimu "watu wenye akili nyingi " system iliyopo madarakani sehemu kubwa imejazwa na vilaza " so , wanaogopa " kama"wakianza " kuheshimu watu wenye akili nyingi Sana" nakuwapa 1st priority",wewe wadhani "wao watakula wapi" ...!!!!? .. refer kilichomkuta Nondo " kilichoikut JF ..lissu " Pascal Mayalla" na mtu Kama azory"" ... .jiulize hivi Leo hii melo"" akisema ""anataka"" kugombea ubungo "unadhani " nchini patakalik " thubutuuu"
 
Asante Max.

Mi napendekeza kitu katika uzi, zile reply zenye like nyingi ndizo ziwe zinaonekana za kwanza.

Yani katika uzi, reply zinazo ongoza kwa like ziwe zinajipanga na kuonekana mwanzoni.

Hii itasaidia watu kujenga hoja, majibu kupatikana kwa wepesi, na watu kujikita katika uandishi mzuri.

Unakuta mtu kauliza swali lkn unakuta jibu sahihi lipo #80 , mwanzoni ni masihara matupu.

Sasa huyu wa #80 akifikiiwa watu watampa like na kuonekana wa mwanzoni.

Kiufupi, mpangolio wa reply usiwe kutokana na mtu kawahi, bali hoja zilizopendwa ma watu

Cc Maxence Melo
hahaaaa",kwahiyo wale wazee wa kuwahi seat una waambiaje "?
 
Back
Top Bottom