lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,710
- 3,394
Dislike iwekwe mkuu. Regards.
Hamna kufuta mada, makaburi yatafutwa humu na jf itabaki nyeupeMoja ya marekebisho mnatakiwa muweke sehemu ya kudelete mada mtu aliyeianzisha mwenywe
Kwakuwa bado tu wachache hapa jamvini hii ilisumbua kiasi chake watu kuigiliziana username. Mkuu atuwekee masharti kubadili kila baada ya Miezi 6 na Id zote ulizotumia zionekane kwenye profile yako kwa lazima. Tukiongezeka wapunguze masharti Labda.Mtuwekee na jinsi ya kubadili username
Boss swala la like kucount mpaka tano ilihali ni zaidi ya hizo hii imekaaje?Ukiamua kufanya hivyo ni mapenzi yako; wewe tu!
Hahahaaaaaa ila kuna ukweli pia...Hamna kufuta mada, makaburi yatafutwa humu na jf itabaki nyeupe
Nahis kama nyumba tu ukipaka rangi huhami nyumbamkuu hatutakuwa hewani tena au marekebisho yanafanyika wakati sisi tunaendelea kupitia huu mtandao?
Hili huwa gumu; jaribio la kuruhusu watu kufanya hivi lilipekea watu kujiita “Mze Mwanakijiji” au “The Bos” na wengine watajiita “kulubulee”.
Tunafanya manually kubadili IDs ili pia kudhibiti wanaotaka kujiita majina yaliyo nje ya maadili
watu mmekazana na dislikeAsante sana kwa taarifa, kitufe cha "dislike" ni cha muhimu sana.
Kazi yako ni njema.




Zaidi ya hii Quote yangu hutapata chochote zaidi! Kwenda huko!Nakoment tu hapa ili nipate like ya Melo
Wakuu,
Napenda kutoa taarifa mapema kuwa kutakuwa na maboresho kadhaa ili kutekeleza baadhi ya maombi ya wadau na kurekebisha kasoro kadhaa katika tovuti na app yetu.
Aidha, baada ya utafiti tulioufanya (tunawashukuru wote walioshiriki katika utafiti huu), kuna mengine yataendelea kuongezwa na kuboreshwa ndani ya siku 45 zijazo.
JF inayoonekana na kutumika sasa ilifanyiwa maboresho yaliyotokana na utafiti kwa wadau kati ya mwaka 2012 hadi 2016 ambapo Januari 2016 ilianza kutumika rasmi. Ni hii hii inayoboreshwa zaidi mwaka 2018 ili kuzidi kuifanya JF iwe rahisi kwa wengi kuitumia na kuifurahia.
Yanayotarajiwa:
1) Kuna ambao hawataona utofauti haraka kwani hatujacheza mbali na kilichozoeleka lakini wataona urahisi zaidi wa kuitumia JF
2) Kuna watakaoona baadhi ya vitu vimeondolewa - hivi vitatolewa sababu za kuondolewa kwake na kuoneshwa maboresho yaliyofanywa ili kutopoteza vitu hivyo
3) App: Waliokuwa wakikwama kwa mambo kadha wa kadha - yamerekebishwa kwa kadiri tulivyoweza
4) Mapendekezo ya wadau baada ya JF kufanyiwa maboresho haya yatafanyiwa kazi ndani ya siku hizo hizo 45
Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu na kushiriki katika utafiti uliofanywa (nje ya mtandao) ili kuboresha jinsi mnavyoutumia mtandao huu.
Asante
kweliHamna kufuta mada, makaburi yatafutwa humu na jf itabaki nyeupe