JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

kuna hii animation hujitokeza pale mtu anapo bonyeza sehemu ya new post (kwa sisi tunao tumia browser kupitia simu chrome) huwa ina dhihirisha mtumiaji ni nani kwa kuonesha ID YAKE KAMA INAVYO ONESHA HAPA CHINI, sasa kama upo kwenye basi na kuna mtu pembeni anaweza kujua wewe ni nani kirahisi

sehemu zenye kamera kama benki pia ukiwa unaperuzi ni rahisi operator ku zoom na kuona user ni nani

napendekeza moja ya maboresho muondoe hiyo animatio na iwe kama ile ya kennyatallk tu yani uki click hai animate kushuka chini na hivyo ku reveal your ID
AHSANTE.

Maxence Melo


IMG_20180721_205412_235.JPG
 
Hili limefikiriwa pia
kuna hii animation hujitokeza pale mtu anapo bonyeza sehemu ya new post (kwa sisi tunao tumia browser kupitia simu chrome) huwa ina dhihirisha mtumiaji ni nani kwa kuonesha ID YAKE KAMA INAVYO ONESHA HAPA CHINI, sasa kama upo kwenye basi na kuna mtu pembeni anaweza kujua wewe ni nani kirahisi

sehemu zenye kamera kama benki pia ukiwa unaperuzi ni rahisi operator ku zoom na kuona user ni nani

napendekeza moja ya maboresho muondoe hiyo animatio na iwe kama ile ya kennyatallk tu yani uki click hai animate kushuka chini na hivyo ku reveal your ID
AHSANTE.

Maxence Melo


View attachment 815144
 
Nimeona members wanahitaji Dislike button. Iangaliwe kiumakuni au suijui utafiti unasemaje kuhusu hilo. Isije kutumika kisiasa iangaliwe vizuri.
Tulishasema ni vigumu kuweka dislike; iliwahi wekwa ikawa league ya kisiasa ku-discredit hoja. Nadhani kiungwana mtu akiandika kitu hukubaliani naye, mpotezee wala usigonge LIKE. Au, mjibu kwa hoja makini zaidi
 
Back
Top Bottom