Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,243
- 90,302
Nimeona mbunge mmoja wa Kenya anasema Tanzania mtu akidhulumiwa haki zake au akionewa atakaa kimya au atakimbilia mitandaoni tena kwa ID za kificho kutoa malalamiko yake.
Hii kauli inafikirisha ukiangalia jinsi mtandaoni watu kupitia ID za kificho(anonymous) walivyo wengi na wenye moto na harakati kubwa sana lakini mara nyingi huwezi kuuona uhalisia huo mitaani.
Nina uhakika kuna watu wengi wanaomwagika hapo JF wakipinga na kushambulia mambo mengi mabaya na ya hovyo ndio hao hao pia ambao wanasifia wakiwa mbele ya watu huko mitaani.
Hii kauli inafikirisha ukiangalia jinsi mtandaoni watu kupitia ID za kificho(anonymous) walivyo wengi na wenye moto na harakati kubwa sana lakini mara nyingi huwezi kuuona uhalisia huo mitaani.
Nina uhakika kuna watu wengi wanaomwagika hapo JF wakipinga na kushambulia mambo mengi mabaya na ya hovyo ndio hao hao pia ambao wanasifia wakiwa mbele ya watu huko mitaani.