Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 302
Hii nimeikuta kwenye Blog ya faza Kidevu na kwa kweli nimekasirika na kusikitika sana kuona kweli Tanzania Mama anaweza kumpa mtoto kileo katikati ya watoto wanaosherehekea sikukuu na ionekane ni kiburudisho?
Tena huyu Mama anajisifia hili!! Jee hakuna sheria ya kumuadhibu Mama kama huyu? Anasema Mtoto anaondoka na safari 2 bila kulewa?
Ni tuseme haelewi kuwa anachokifanya ni kuvunja sheria?
Tena huyu Mama anajisifia hili!! Jee hakuna sheria ya kumuadhibu Mama kama huyu? Anasema Mtoto anaondoka na safari 2 bila kulewa?
Ni tuseme haelewi kuwa anachokifanya ni kuvunja sheria?