Jamii imempora mwanamke nafasi yake

Madam huu usawa wengi wanaufurahia sana lakini niamini mimi athari zake zitawakumba zaidi wanawake kuliko wanaume.

Wewe si unajifanya uko sawa mwanaume!!? Basi na mimi nakuchukulia kama mwanaume mwenzangu katika situation yoyote ile. Hebu soma hiki kipande cha habari, Kwenye hii ajali waliokufa wote ni wanawake na watoto.

PASSENGERS of the Costa Concordia, the cruise ship that sunk off an Italian island on Friday [13th January 2012], told The Daily Mail that in the chaos after the ship was wrecked, men rushed for the lifeboats and gave no priority to women and children.

As she [one of the survivors ] waited for a flight home from Rome, grandmother Sandra Rogers, 62, told the Daily Mail: ‘There was no “WOMEN and CHILDREN FIRST” policy. There were big men, crew members, pushing their way past us to get into the lifeboats. It was DISGUSTING.’


Na huku ndio tulipofikia.. Naamini kabisa hata ile ajali ya TITANIC ingetokea leo hii wangekufa wanawake tupu.
 
Ndoa ni jambo zuri mnoooo


Na ndoa ingekua rahisi kiasi hicho kwa wanaume basi mabachelor wasingekua wanapata tabu wamuoe nani...ts a struggle eitherways..nadhani anaechagua anapata tabu zaidi cz he has to choose well..and the woman can also say no if she wants..ts not like inakuaga smooth sail tushapita tunajua sio kila mtu alokutamkia ndoa ulimkubalia..u had to choose pia ktk hao...

Na mwanamke asipoolewa na mwanaume mmoja haimaanishi hatoolewa na mwanaume mwingine

Furaha ya mwanamke na ndoa ipo karibu sana mana ndo jukumu la tangu kuumbwa dunia alikua asubirie ndoa tu azae alee afe...mindset na setting kijamii iko hivyo
sikuhizi vyanzo vya furaha ni vingi..vingi sana...ndoa inakuja kama icing on the cake and not the whole cake...si kwa mwanamke tu hata mwanaume...there is life beyond
Maisha yanakua ss muunganiko wa yote hayo
 
Kwa vipi sasa.
Kuchagua aina ya kazi/biashara utakayofanya
Mfano:iwe flexible, masaa machache kazini ama kwny biashara,kuwa na wasaidizi wa kazi nyumbani mgawane kazi nk

Maadam upate kazi/biashara inayokupa nafasi kuattend majukumu ya familia na yako binafsi as a human being/woman
 
Wanaume wote wanabeba mizigo kwani?.

Hamna softer works that u can also do uingize kipato?
Issue hapa sio vyanzo vya kipato bali ni wanawake kujiona wana vifua sawa na wanaume, yaani kuwa na ile mentality ya "what a man can do, a woman can do better" mpaka wanafikia hatua ya kutamka maneno kama "i don't need a man in my life so long as I'm financially independent". Sasa na sisi muda sio mrefu tutasitisha generous gestures kama hizi na kisha tutaanza kutembelea kwenye haki sawa kweli°
 
Hivi mnamaanisha kuwa watoto waliolelewa na mamazao kwa kukaa nyumbani ndo watoto walio Bora zaidi katika jamiii?.... Ina maana watoto waliolelewa na mama na baba Ni wafanya kazi ndo watoto wahovyo?... Nadhani huu mtizamo Ni umegeneralize na Wala hauna ukweli wowote.
 
Imeanzia kwa wanaume
Women are just victims of copying what men did bila kuchuja..kila kitu kina madhara ukizidisha..balance is key

Baadhi ya wanaume ndo vinara wa mwanamke ni nini.?maadam ana pesa thats all that matters...
 
Thank you

We all know hamna watu wanapeta sana kwenye maisha kama wale ambao baba na mama wote wako vizuri kiuchumi
 
Wewe Anza na familia yako..mke wako akae nyumbani...watoto wa kiume wasome, wakike waishie lasaba... Usilazimishe kuwa mtizamo wako Ni mzuri na kwamba unajenga familia Bora kuliko wengine...haimaanishi kwa mkewako kukaaa nyumbani watoto wako ndo watakua Bora zaidi kuliko watoto wa watu wengine. Usilazimishe mtizamo wako was ki conservative kwamba Ndo mtizamo iliobora zaidi...
 

Mmhhhh children needs to bond with BOTH parents,hii ya kusema mtoto wa kike na mama na mtoto wa kiume na baba, ni PROOF tosha ulilelewa kwenye isolation......

Watu ambao nyie mnatafuta walikufa na kizazi chao!..demands from the environment wants us women to get education and get jobs..sasa we are responding to the environment which means mtapata tabu sana nyie mnaodhania a woman's place is in the kitchen!....

You are happily married??? I DONT THINK SO!...usingekua unaleta kila siku mada za wanawake,lol..we can smell trouble from very far,lol....Jiangalie mwenyewe topics ngapi in total ulizozianzisha kuhusu wanawake..kisha jiulize tena 'am i happily married'?lol

Social skills zinakuwa imparted hivyo, kila mzazi ana nafasi yake kwa wakati wake. Sisi tuliolelewa kwenye maisha hayo unayoyakashifu tuna amani sana kuliko hiki kizazi cha nyoka, kinachokidai kuzibuka lakini wanaishia kunasa kwenye tundu bovu.

Mnhhh mna amani indeed,kila siku wanawake this wanawake that humu...Mmepata Platform ya kutolea frustrations zenu kuhusu wanawake...in short hamna amani when it comes to women,to you educated ,working lady tayari ni mwiba kwako..tayari ni challnge hutaki kukabiliana nayo..lol...social skills ni BOTH parents playing their role well tangu mkiwa wadogo, na sio kwa njia uliyoiweka hapo!


MNhhhhhh sijui hata haya yametoka wapi?
 
Ujue mwanzoni niliposoma hii mada nilidhani huyu mtoa mada ni wale wahafidhina,(wanaoamini katika utamaduni na desturi za kale)
Ok nikaheshimu mtazamo wake, nikajisemea sio mbaya mtu kuamini hivyo, anaweza akawa yupo sahihi kwa watu wengi tu, maana na mimi pia kuna mambo mengi ya kisasa huwa siyaungi mkono
Lakini nilivyozidi kumsoma na comments zake, nikaona kumbe hata mada yake haihusu conservatism, naona huyu tatizo lake ni kuwa anachukia wanawake, misogynist
Maana hao wanawake ambao anataka wanawake wote wafanane hivyo (ambao ni dependant, mission yao kwenye maisha ni kuolewa na kwenda kukaa nyumbani) bado huyu mtoa mada anawakejeli tena, yaani anataka wanawake wote wawe hivyo, ila wale wanawake ambao wapo hivyo ambao wametokana na mfumo wa maisha anaoupigia debe kwenye uzi wake, bado anawakejeli
So tatizo lake sio mfumo wa maisha tatizo lake ni wanawake, pengine alikejeliwa ama kukataliwa sana na wanawake ikamuathiri akawa anawachukia wanawake wote
 

Anayechagua hapatintabu kama unavyodhani kwake wife material wamejitenga wazi. Anayesubiri kuchaguliwa ndiye mwenye pressure. Kwa leo hii ni nadra mwanamke kisema no, isipokuwa wale waliomezwa na starehe za ujana wakidhani watadumu hivyo milele. Mwanamke wa leo analilia ndoa, na ndio kisa cha wwnaume wenye nia ovu kuwarubuni na kulimega tunda kiulaini.

Na mwanamke asipoolewa na mwanaume mmoja haimaanishi hatoolewa na mwanaume mwingine

Ni kweli haimaanishi hivyo, lakini kuolewa kwa mwanamke kunategemea sana mtazamo wake kwenye ndoa, ndio malezi yenyewe. Wengi wasiotambua thamani ya ndoa huishia kwenye upepo wa kisulisuli wakitaka kuolewa bila sifa


Hiyo habari ya mindset au jamii ni uongo, hayo ni maandiko kw wanaoamini. Tunaamini ni maagizo ya Mungu Mwenyezi. Ndoa ndio msingi wa kujenga familia, sio kama leo hii inavyosemwa hovyo hovyo. Na furaha ya ndoa ni kuu kuliko hivyo vyanzo unavyosema ambavyo ni vya muda tu
 
Ndio nnachokisema hiki, wanawake kuamini kwamba elimu na pesa ni nyenzo ya kumnyanyasia mtu kitu ambacho si kweli, sasa kwa sababu na nyie siku hizi mnazo nyenzo hizo basi ni mwendo wa mashindano tu hata pasipokuwa na ulazima.

Kwakuwa na nyinyi mna mali/pesa basi mmekuwa alpha females. Naona mpaka kuna mmoja wenu hapo juu anasema pesa zimempa uwezo wa kuwachezea wanaume kadri anavyotaka. [emoji1787][emoji1787].

Nakubali wanawake walikandamizwa karne hizo lakini si kwa sababu ya kutokuwa na pesa/mali kama ambavyo wengi mnaamini. Mgawanyo wa kimajukumu ndio ulitoa mwanya huo wa mwanamke kukandamizwa napenyewe si kwa kiasi ambacho kinaongelewa siku hizi.

Ni kweli nakubaliana na wewe sio wanawake wako hivyo ila bahati mbaya sana wengi ndio wako hivi
 
Asante kwa mchango, tumekusikia
 
Kwani la saba sio elimu? Wasisome kabisa, aee you happy now?
 
Hicho ndicho tukisemacho, mwanamke asihame kwenye majukumu yake ya msingi, nurturing. Hii haimfanyi kuwa mtumwa hata kidogo bali inamfanya mwenye jukumu jema la malezi.
 

Wanawake tunapoteza nafasi yetu na tunakosa haki na vipaumbele vya msingi kwa kulazimisha kuwa sawa na wanaume.
Huu usawa unaenda hata kinyume na dini zetu..Je Mungu alikosea kumwambia adam atakula kwa jasho? Hivi kwanini hili hakumwambia Hawa?

Sisemi kwamba wanawake wanatakiwa wasitoke jasho ila hata Mungu alijua kwamba hatuwezi kuwa sawa ila tunaweza kuwa wasaidizi wazuri sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kiazi mbatata wee ....navyompenda Mama yangu, na ninvyosimaam kwa ajili ya mama yangu..

Niwe nmekosa nn?? Hihihi kaone ,kapanya weee
Mimi Nadhani hata kumuita Kiazi mbatata umempa heshima sana ambayo hastahili kuwa nayo. Kiazi mbatata ni chakula chenye manufaa mengi sana mwilini, usilinganishe chakula hiki na vitu vya kipuuzi kabisa.

Huyo ni kokwa la embe tena tena lile ambalo limeshaanza kuoza kiini chake kiasi kwamba halina matumizi tena kwenye uso wa hii dunia.
 
Unajicontradict

Money is power
Kinachowapa jeuri wanaume si pumbu tu
Ni hio hali ya kuwa na kipato ama kupata access zaidi ya wanawake over the years

Na truth be told..imetumika kuwaonea wanawake mara nyingi..wanayotenda wanawake ni matokeo ya walichoona kwa wanaume
Alpha females ni trait tu mana Beta Males wapo pia
Kila mtu na mbuyu wake
 
Kuna exceptions mkuu, lakini hoja ni kuwa watoto waliolelewa na mama zao ni bora mno na huwezi kuwalinganisha na waliolelewa na mahouse girls. Ni nini hoja yako katika hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…