Jamii forums app clone + modification kwa kutumia flutter

Cybercurex

Member
Joined
Jan 19, 2023
Posts
98
Reaction score
238
Nimedesign clone ya Jamii Forums app kwa kutumia Flutter, nikiwa nimefanya marekebisho machache (UI/UX na baadhi ya features) ili kuiboresha zaidi.
design hii imelenga kujifunza, kuonyesha uwezo wa Flutter kwenye mobile app development, na pia kujaribu kuibua ideas mpya kwa ajili ya apps zinazofanana.
Nimetumia siku moja kudesign UI zote kama zinavyoonekana kwenye screenshots

Karibuni kwa maoni, ushauri au changamoto ambazo mnaona zinaweza kuboresha zaidi claudematemu
 

Attachments

  • drawer.png
    150.1 KB · Views: 17
  • login screen.png
    100.2 KB · Views: 18
  • your content screen.png
    177.5 KB · Views: 22
  • dm screen.png
    110.4 KB · Views: 21
  • jamii check screen.png
    191.1 KB · Views: 26
  • dm screen.png
    110.4 KB · Views: 23
  • forum_screen.png
    202.1 KB · Views: 24
  • news_feed_screen.png
    138.3 KB · Views: 20
  • profile_screen.png
    196.5 KB · Views: 20
  • subscribed_forums_screen.jpeg
    66.2 KB · Views: 27
  • preference_screen.jpeg
    33 KB · Views: 22
  • chat_screen.png
    46.2 KB · Views: 27
Dogo achana na JF they dont give a f*ck hawatakusaidia chochoote App lao lipo toka miaka na Miaka unafkiri hawaioni ilivyo ya kishamba? wewe kupitia hiyohiyo AI tafta idea then develop App zako acha kujipendekeza kwa hawa kenge
Nashukuru kwa mawazo yako kaka πŸ™. Hii design nimeifanya tu kwa fun na practice ili ku-improve skills zangu kwenye Flutter. Sio kwamba najipendekeza au kutegemea support kutoka JF, ila ni sehemu ya kujifunza na kujaribu different ideas.
 
Mimi nashauli na uyu Mwalimu wa Zamu Tz
Apewe kitengo Cha ufagiaji na bustani apo mikocheni apate kujiongezea kipato maana sio kwa gubu hili
Dogo achana na JF they dont give a f*ck hawatakusaidia chochoote App lao lipo toka miaka na Miaka unafkiri hawaioni ilivyo ya kishamba? wewe kupitia hiyohiyo AI tafta idea then develop App zako acha kujipendekeza kwa hawa kenge

Maxence Melo, mtafute huyu kijana haraka umpe kazi. Baada ya hapo utaangalia mwenyewe sasa kiasi cha kunipoza kama shukrani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…