Jamii forum hii lol!

Jamii forum hii lol!

Ahsante kwa kunisamehee mpenzi wanguu maana hadi nilipata jotoo nikaonaa niwashirikieshe mashostito nao waniombee msamaha maanaa hali ilikua mbayaaa ban ya nyumban mbayaa my darling bora upate ya Jamii au sio TATIANA na measkron,nashukuru kwa kua muelewaaaa kiasi hiki ndio maana najivunia kua na wewee

Shoga hongeraaa!
 
Last edited by a moderator:
Ahsantee shogaa leo umeamkiaa hapaa mapemaa,kanisameheee nimefurah naanza kubalance muda wa kuwa Jamii maanaa tutakimbiwaaa

Nimefika kuhakikisha Kama msamaha umepita au tunaendelea kukufariji kabla hujachukua uamuzi mmbaya
 
Shemeji nishamsamehe hapa usiku nilikuwa macho nimesusia na kitanda ligi ilihamia nyumbani na kwake ilikuwa mgumu kama kwa Manchester United kwa maneno yenu mazuri na yeye kutoa Uzi sikujua kama kafanya vile alishasamehewa. Cha kushangaza alikuwa anasingizia JF nikamwambia JF haina tatizo wenye matatizo ni watumiaji ajaribu kubalance na sintopenda apumzike ndo furaha yake naye aendelee nafurahia kuzisoma comment zake kuona maoni yake na mipasho yake

Laazizii wangu shukranii sanaaa nimefurahi kujitokezaa hapaa,mashosti walikua wana hamu ya kukujuaa ila wajue tu kua Pm iko wazii inaonwaa hahhhha halaf Man u jana wamefunga goli 4 sasa sijui kwa vile ni kocha mpyaa au vipiiii
 
Sometime Jamii Forums can be addicted. Be careful and more careful when it involved your family matters.

BTW use JF on your own risk.

CC: Invisible.
 
Last edited by a moderator:
Shemeji nishamsamehe hapa usiku nilikuwa macho nimesusia na kitanda ligi ilihamia nyumbani na kwake ilikuwa mgumu kama kwa Manchester United kwa maneno yenu mazuri na yeye kutoa Uzi sikujua kama kafanya vile alishasamehewa. Cha kushangaza alikuwa anasingizia JF nikamwambia JF haina tatizo wenye matatizo ni watumiaji ajaribu kubalance na sintopenda apumzike ndo furaha yake naye aendelee nafurahia kuzisoma comment zake kuona maoni yake na mipasho yake

Uuhh afadhali jameni kaa umemsamehe
hiki kipindi cha mvua mvua hiki hata hakifai kununiana
afu unipe basi kanamba shemeji tuwe tunachat chat
hata ukinisave fundi makochi si mbaya
Dinazarde asijue....
 
Last edited by a moderator:
Uuhh afadhali jameni kaa umemsamehe
hiki kipindi cha mvua mvua hiki hata hakifai kununiana
afu unipe basi kanamba shemeji tuwe tunachat chat
hata ukinisave fundi makochi si mbaya
Dinazarde asijue....

Hahhhhahhhhahhhhhahhha ngoja aamkee akirudii nione jibu lakee hapaa lipojee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom