Jamii forum hii lol!

Jamii forum hii lol!

ImageUploadedByJamiiForums1398530226.168271.jpg
 
Yule mdau alivokomeshwa jana hatotishia tena kufa hakya nani.
 
Bossman utaniletea matatizo wewe....au mpaka nikutumie PM nikwmabie utaniletea matatizo ndo uelewe?:smile-big:

Nashangaa nishapewaa mumeee watu bwanaaaa lol kwa umbeaa watasutwaaa mme wangu yupo kimyaa wala hawamjuii
 
Pole shosti, ndo tabu ya umbea yani ukinusurika kusutwa basi utapatwa na misukosuko.
Jamani Ngoshe wetu msamehe shost....pliiiiiiz.

Niombee msamahaa jamanii lol ndio hivyoo tuu
 
Hivii nishawah kusema Nyani Ngabu ni mume wangu??????aliekuambiaa huyo ndio mme wakee asinikwepeshee mieee au unapenda kumfaham???

Lilikuwa swali tu...labda sababu Nimeona mnapendezana ...ni swali tu..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom