Jamhuri yakata rufaa dhidi ya Masheikh Uamusho

Sep 19, 2019
43
383
Bismillahir Rahmaanir Rahiim

SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

LEO TAREHE 28.04.2021, SERIKALI IMEKATA RUFAA MAHAKAMA YA RUFAANI DHIDI YA MASHEIKH

Tarehe 23.04.2021, Mahakama Kuu ilitoa hukumu ya ushindi kwa Masheikh wa kesi 14, Kati ya 25, zilizokuwa zinawakabili Masheikh.

Baada ya uamuzi huo shauri lilipangwa liendelea leo kwa kusikilizwa kesi 11, zilizobaki.

Katika hali ya kuonesha nia ya Serikali ya kuendelea na msimamo wake dhidi ya Masheikh hao leo hawakufika Mahakamani kama ilivuotarajiwa na badala yake wametuma hati ya kukata rufaa dhidi ya hukumu iliyowapa ushindi wa kesi 14, Masheikh.

Kufuati hatua hiyo shauri hilo litasitishwa kuendelea Mahakama Kuu mpaka litakaposajiliwa Mahakama ya Rufani na kukapangiwa Majaji wa kusikiliza na hatimaye kutolewa uamuzi.

Wito wa Shura ya Maimamu Tanzania kwa wananchi ni ule ule wa kuwa karibu na kesi hizi kubwa ili kuona na kupata fursa ya kutafakari mgumo wetu wa sheria, uongozi na mustakbali wa Taifa letu .

Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tanzania.
0713118812
 
Ipo siku mwenye hii dunia atajibu maombi yetu
Kabla ya mashekh kukamatwa kulikuwa na vitendo vya uhalifu kama mapadri kumwagiwa tindikali na makanisa kuchomwa moto. Ila walipokamatwa mpaka leo hii ni amani, hakuna padri au kiongozi yoyote kamwagiwa tindikali na makanisa hayajachomwa moto mpaka leo.
Kinachoogopesha zaidi, hawa watu wakiachiwa huru huenda kitaibuka kikundi cha Islamic State km Msumbiji, Nigeria na Somalia .
 
Kabla ya mashekh kukamatwa kulikuwa na vitendo vya uhalifu kama mapadri kumwagiwa tindikali na makanisa kuchomwa moto. Ila walipokamatwa mpaka leo hii ni amani, hakuna padri au kiongozi yoyote kamwagiwa tindikali na makanisa hayajachomwa moto mpaka leo.
Kinachoogopesha zaidi, hawa watu wakiachiwa huru huenda kitaibuka kikundi cha Islamic State km Msumbiji, Nigeria na Somalia .
Hawa jamaa nao hawawezi kumuabudu Mungu wao , mpaka wawafitini watu wa madhehebu mengine ?!.

Anyway. All in all wahukumiwe ili wasi na hatia warudi nyumbani.
 
Bismillahir Rahmaanir Rahiim

SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

LEO TAREHE 28.04.2021, SERIKALI IMEKATA RUFAA MAHAKAMA YA RUFAANI DHIDI YA MASHEIKH

Tarehe 23.04.2021, Mahakama Kuu ilitoa hukumu ya ushindi kwa Masheikh wa kesi 14, Kati ya 25, zilizokuwa zinawakabili Masheikh.

Baada ya uamuzi huo shauri lilipangwa liendelea leo kwa kusikilizwa kesi 11, zilizobaki.

Katika hali ya kuonesha nia ya serikali ya kuendelea na msimamo wake dhidi ya Masheikh hao leo hawakufika Mahakamani kama ilivuotarajiwa na badala yake wametuma hati ya kukata rufaa dhidi ya hukumu iliyowapa ushindi wa kesi 14, Masheikh.

Kufuati hatua hiyo shauri hilo litasitishwa kuendelea Mahakama Kuu mpaka litakapo sajiliwa Mahakama ya Rufani na kukapangiwa majaji wa kusikiliza na hatimaye kutolewa uamuzi.

Wito wa Shura ya Maimamu Tanzania kwa wananchi ni ule ule wa kuwa karibu na kesi hizi kubwa ili kuona na kupata fursa ya kutafakari mgumo wetu wa sheria, uongozi na mustakbali wa Taifa letu .

Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tanzania.
0713118812*

Hiyo ni danganya toto tu ili isionekane mwendazake alikuwa na mkono.

Mbona hiyo case ishakwisha tangu ujasiri wa kukiri mapungufu Mar 17 ulipopatikana?

Ni suala la muda tu.
 
Back
Top Bottom