Mbona umestaajabu!Dah
If buana....
Hakika! Tutafika kila pembe.Hadi mwaka uishe nahisi nitakua nimezunguka nchi zoote...
Hivi copa cabana ndio= VEIS? Kama sio,umenikatili sana aisee(ungeizungumzia hata kidogo tu).
Virtual Tour! Sijazifikia, Nikiwa Venezuela nazichungulia kwa uzuri.Mkuu ww unaishi latin America au vp hizo nchi zote umepita au?
Hakika ni taifa kubwa kwa masuala mbalimbali kuanzia eneo, uchumi, elimu, sanaa, teknolojia, sayansi, michezo na muziki.maendeleo ya kuvunja na mundu
Kweli hii nchi ni moto was kuotea mbali
Duh! ni atari fire
Hakika, moja ya taifa kubwa hiliKuna mwaka kama sio juzi iliupiku Uingereza kama taifa la 5 lenye uchumi mkubwa Duniani.
Brazili wako vizuri sana, ni very powerfull kiuchumi inazipiga fimbo nchi nyingi sana za Ulaya wakina spain hao hawafuati kwa Brazili
Hakika,Nasikia pia Brazil kuna magenge mengi ya uhalifu na dawa za kulevya. Ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa vitendo vingi vya uhalifu, vipi unaliongeleaje hili?
Mhe. Antonio Augusto Cesar / Brasil in Tanzania.Balozi wa Tz ni nani
Oh! Nimepitia hapa na kuona hili swali, sorry for late response lakini nitawaita wataalamu tuzungumze hili.Nini kilichangia nchi za Hispania na ureno kushuka sana kiuchumi na kiushawishi hadi kwenye makoloni yake waliyokuwa wanayakalia tofauti na ufaransa uingereza na kidogo ujermani na Ubelgiji