Jamhuri: Mbasha alibaka ndani ya gari

Jamhuri: Mbasha alibaka ndani ya gari

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
26,021
Reaction score
25,422
Uchunguzi wa polisi unaonyesha kwamba muimbaji nguli wa nyimbo za injili nchini, Emmanuel Mbasha, alimbaka shemejiye ndani ya gari mara 3. Mbasha anashtakiwa na Jamhuri baada ya kumbaka shemejiye huyo mwenye umri wa miaka 17 na kumsababishia maumivu makali sana. Aidha alimvurugia matumaini ya kuendelea na masomo hasa ukizingatia kwamba binti alikuwa bado ni mwanafunzi, na pia kumweka katika hatari ya kumuambukiza magonjwa ya ngono kama ukimwi.

Adhabu kwa wanaume wanaopatikana na hatia ya kubaka watoto wadogo ni kifungo cha maisha jela pamoja na kuchapwa viboko.

Hata hivyo, Mbasha bado anakana kuhusika na ubakaji huo. Lakini mbivu na mbichi zitajulikana baada ya kusomwa hukumu.

Jamhuri yadai Mbasha alibaka ndani ya gari


Emmanuel Mbasha


Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

UPANDE wa Jamhuri umedai mume wa mwimbaji wa nyimbo za injili, Emmanuel Mbasha (32), alimbaka shemeji yake wakiwa ndani ya gari Mei 25, mwaka huu.

Hayo yalidaiwa jana katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, wakati Mbasha alipokuwa akisomewa maelezo ya awali dhidi ya mashtaka mawili ya ubakaji yanayomkabili.

Maelezo hayo yalisomwa mbele ya Hakimu Mkazi, Wilberforce Luhwago na Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga.

Katuga alidai Mei 23, mwaka huu mke wa mshtakiwa, Flora Mbasha hakuwepo nyumbani, mshtakiwa alibaki nyumbani na shemeji yake ndipo akambaka.

Alipotakiwa kujibu kama kweli ama si kweli, Mbasha alikiri siku hiyo mkewe hakuwepo nyumbani.
"Ni kweli mheshimiwa siku hiyo mke wangu hakuwapo nyumbaani, nilibaki na shemeji yangu lakini sikumbaka kama inavyodaiwa," alisema Mbasha.

Katuga aliendelea kudai kuwa Mei 25, mwaka huu mshtakiwa na shemeji yake walikwenda kumtafuta mkewe, wakiwa njiani wakati wanarudi, Mbasha alimbaka shemeji yake huyo kwa mara ya pili ndani ya gari.


Mshtakiwa alikana kufanya hivyo. Upande wa Jamhuri uliieleza mahakama kuwa unatarajia kuita mashahidi wanne kwa ajili ya kutoa ushahidi.

Hakimu Luhwago alikubali kuahirisha kesi hiyo hadi Agosti 22 mwaka huu, kwa ajili ya kuanza kusikiliza ushahidi wa upande wa Jamhuri.

Mshtakiwa huyo ambaye ni mfanyabiashara na mwimbaji, anadaiwa kutenda makosa mawili maeneo ya Tabata Kimanga, jijini Dar es Salaam.

Katika shtaka la kwanza, inadaiwa Mei 23, mwaka huu katika eneo la Tabata Kimanga, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, kinyume cha sheria na akijua ni kosa anadaiwa kumbaka shemeji yake (jina limehifadhiwa).

Katika shtaka la pili, ilidaiwa Mei 25, mwaka huu eneo la Tabata Kimanga, jijini Dar es Salaam kinyume cha sheria, mshtakiwa alirudia tena kumbaka shemeji yake. Mshtakiwa alikana mashtaka
hayo.

Source:Mtanzania
:israel:
 
Mwenye picha jamani ya yule malkia alie bakwa. Dah ndio maana watu wanafia vifuani kwa ajili ya mahisia. Yule mtoto mzuri jaman!!!!
 
Mwenye picha jamani ya yule malkia alie bakwa. Dah ndio maana watu wanafia vifuani kwa ajili ya mahisia. Yule mtoto mzuri jaman!!!!

Mkuu lile Toto hata mimi ningelifuturu Mara 3 Tu!Maana Yule mtoto Mungu katumia ufundi wa ziada jamani!
 
alibakwa mara tatu... hii rekodi ya dunia, mtu kwa free will unabakwa mara tatu umetulia tu.. labda ka alikua anafungiwa somewhere as in kua kidnapped afu msela anajipimia akitaka.. huyu jamaa na familia yake cheche sana, matatizo ya familia wameyakuza wee, mwishowe mtu atafia gerezani, inabidi wakae wote familia na huyo mbakaji wafikirie twice which way they wanna take, njia hii itapelekea lifetime torture, u wont have a peace of mind kujua ulisababisha mtu afungwe jela for a lifetime...
 
Hili gubegube ndio la kupata maumivu makali kwa kugegedwa na kidume kimoja? Ishu nyingine hata haziingii akilini kabisa eti vipimo vinaonyesha aliingiliwa kwani alikua bikra? Yani mashtaka yalivyo tu kesi hakuna bora wangemshtaki kwa kubaka tu lkn habari ya kumsababishia maumivu imekula kwao na hata huo ushahidi wa daktari wa kitoto muda wa tukio na muda aliokwenda hospital ni kichekesho
 
Hili gubegube ndio la kupata maumivu makali kwa kugegedwa na kidume kimoja? Ishu nyingine hata haziingii akilini kabisa eti vipimo vinaonyesha aliingiliwa kwani alikua bikra? Yani mashtaka yalivyo tu kesi hakuna bora wangemshtaki kwa kubaka tu lkn habari ya kumsababishia maumivu imekula kwao na hata huo ushahidi wa daktari wa kitoto muda wa tukio na muda aliokwenda hospital ni kichekesho

Na bado unaambiwa ana miaka 17! Shangaa tena
 
Kabakwa mara tatu???teh!teh!kuna kesi ambazo zinaweza kusikilizwa tu hapa tanzania..
 
''na kumsababishia maumivu makali sana''...................Waandishi wa habari, yaani ukisikia habari ya mtu kubakwa lazima hii sentensi iwepo.

Hivi kila anayebakwa huwa anasababishiwa maumivu makali sana?!
 
Mmmmh! saumu zetu jamani. sijui kwann nimefungua hii sredi
 
Back
Top Bottom