Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 1,211
- 230
YY,
Hawa tumewamilikisha Ardhi yetu na vyote vipatikanavyo humo kwa ajili ya Tamaa iliyoendekezwa na watu wachache waliopewa dhamana kuilinda hiyo Ardhi na Mali.
Kupitia mikataba mibaya na si kwamba hawakuwa wakielewa bali walifanya hivyo kuridhisha nafasi zao na kutojali wananchi waliowengi.
Hawa tumewamilikisha Ardhi yetu na vyote vipatikanavyo humo kwa ajili ya Tamaa iliyoendekezwa na watu wachache waliopewa dhamana kuilinda hiyo Ardhi na Mali.
Kupitia mikataba mibaya na si kwamba hawakuwa wakielewa bali walifanya hivyo kuridhisha nafasi zao na kutojali wananchi waliowengi.