Kongwamaji
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 560
- 145
Alikuwa anaongea kama anaongea na watoto wake. Huyu jamaa nilikuwa namheshimu sana lakini hotuba yake jana nimemdharau saaaana. Eti anataka mdahalo na mwenyekiti wa ccm na wa ukawa, shame on him, tangu lini ukawa ikawa chama.....bila aibu anasema kuna ukawa aina tatu....hii imethibitisha kama alivyosema mzee warioba ukawa wamepoteza uelekeo na maelengo yao ya awali na zilizobaki ni ghiliba tu kwa watanzania.
Anasema wamefanya utafiti kwamba wanashinda uchaguzi, watueleze utafiti ulifanywa na nani na lini na matokeo yake ni yapi?
Anasema wamefanya utafiti kwamba wanashinda uchaguzi, watueleze utafiti ulifanywa na nani na lini na matokeo yake ni yapi?