James Mbatia amuwakia vikali Rais Samia, asema nchi haina uongozi

Na bado!
.
Si mnapumua baada ya kuonewa sana kwa miaka 5 nyie?
Sawa, Nini tofauti , labda ni jinsia tu.Mama yenu ni sehemu ya maharamia wa HAYAWANI Magufuli LAANAKUM. Hakuna jipya.
Endeleeni kutesa na kuua watu , hamna shida Bibie ,, kwa raha zenu ehee.
 
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.

Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.

Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.

My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.

Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?

Hivi tutaacha lini unafiki?


Gas bei juu
Vifaa vya ujenzi bei juu
Mafuta bei juu
Nauli zimepanda
 
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.

Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.

Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.

My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.

Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?

Hivi tutaacha lini unafiki?

Sio unafiki. Penye ukweli lazima tuseme tuu.
Mama kashaharibu sana
 
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.

Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?

Hivi tutaacha lini unafiki?
Kwa hiyo wewe jamaa kama umebahatika kuwa na familia ikitokea mwanafamilia aliyekuwa anafanya vizuri kakosea hutamuonya/kumkemea kisa tu ulimsifia alipofanya vizuri?
 
Ukweli ni kuwa Samia hakujipanga kuwa rais wa nchi, anafikiri kuongoza nchi ni sawa na kuongoza taasisi kama WAMA
 
Hakuna wakumuwakia RAIS katika nchi hii, HAYUPO NA HATOTOKEA. HATA CDF HAWEZI KUMVIMBIA RAIS
 
Naungana na Mbatia nchi inaendeshwa kama haina kiongozi, leo mafuta yanauzwa bei ambayo hatujawahi kuona lakini Rais amekaa kimya tu.
Kwahiyo unataka ashushe bei yeye? Huu UKICHAA wako peleke UFIPA.
 
Tufanye yafuatayo;tshs yetu tuipandikize kwenye BWP na tuondoe kwenye mzunguko noti zote za kuanzia 1000 hadi 10 000(tubakiwe na 100 tu,hili linawezekana Zambia walifanya hili)extra taxes kuhusiana na bei ya mafuta ziondolewe na zibakizwe zile muhimu tu,watumiaji wa barabara tujenge road tolls ili gharama za hizi barabara zipatikane humo;free market tuimarishe ila tulinde viwanda vya ndani;serikali yetu ni kubwa mno we just need 15 Departments;mikoa 20 tu na wilaya 70 tu,wananchi wanahitaji services delivery sio utitiri wa wilaya na mwisho tufanye kazi kwa uadilifu!TRA na TBS ya sasa ni vikwazo mno kwa wajasiria mali ni super bussiness people's wanaonufaika na taasisi hizi.
Mkuu ushaoa?

Nataka nikupe Dada yangu Mkuu.
 
Back
Top Bottom