Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 12,607
- 23,757
Mi mpaka sasa sioni faida ya ndugu jamaa na marafiki kunikataza kutoka na mashangazi kwa kweli....Tufupishe story,
Kama asingekua baba sijuh ingekuaje ๐๐
๐๐๐๐
Mi mpaka sasa sioni faida ya ndugu jamaa na marafiki kunikataza kutoka na mashangazi kwa kweli....Tufupishe story,
Kama asingekua baba sijuh ingekuaje ๐๐
Daaah mkuu ilikua bado hivi an ๐๐๐๐๐Kuendesha piki piki mzee alikua ananikataza lkn nlikuwa simuelewi nlikuwa nakimbiza kama Sina akili vle saivi nimeshafunga nadhiri sitakaa nipande pikipiki ...na zaidi ya miaka mitatu sijapanda
Nitajie ndgu jobless pro max.Hahaha, mkuu naomba niku tajie jina la product 1 hivi.
Itakuwa launched mwakani, halafu ndo uta elewa u jobless wangu๐๐
best pick tomato sauceNitajie ndgu jobless pro max.
Anhaa yani ndo unalounch hiki chuma??best pick tomato sauce
Dah we ulikuwa mfungwa๐๐คฃ๐คฃJua likiwa linazama nawewe uzame nalo ndani, hakuna kutoka bila ruhusa na ukitoka lazima uage.
Kumiliki Simu na matumizi yake kwa ujumla, katika kitu nilikuwa nachukia ni kuambiwa habari za simu ila sasa nawashukuru wazazi waliniepushia mengi.
Mapenzi, mama alikuwa akiniimbia kila siku kuhusu kujihusisha na mahusiano, alikuwa akiniambia soma mwanangu hayo mambo utayakuta mpaka utayakimbia. Nilikuwa namind lakini nmekuwa nimeyaona.
Hakuna mazoea ndugu wakike, mama alikuwa hataki kabisa nizoeane na ndugu wa kike(mabinamu) pindi watutembeleapo nyumbani kipindi cha likizo. Hakutaka ukaribu uliopitiliza alikuwa ananiambia we ni mwanaume na hawa ni dada zako usijethubutu kufanya ujinga wowote. Nadhani alikuwa akinihusia hayo kutokana na tabia za hao mabinamu. Nilikuwa naona kama anaongea mambo ambayo hayapo kabisa ila kadri nilivyozidi kukuwa nilimuelewa sana.
Kaka mi jobless pro max, na hicho Chuma Mungu aki jalia mwakani kina Anza ndani ndani huko ๐.Anhaa yani ndo unalounch hiki chuma??
Sema we dogo ni tajiri afu unajiita jobles sijui mganga wako ndo kakwambia ujidogodishe ili usirogwe.
Unatupanga tu we chaliiKaka mi jobless pro max, na hicho Chuka Mungu aki jalia mwakani kina Anza ndani ndani huko ๐.
Mi jobless pro max naombaga deiwaka tu๐๐
Hapa nime lala kwenye mkeka ๐, na ki button changu Cha tekno 714 ๐๐.Unatupanga tu we chalii
Mkuu mambo ni mengi ukimpa uhuru sana mtoto unampoteza, kumbuka katika umri wa utoto kutambua kama unakosea ni ngumu sana.Dah we ulikuwa mfungwa๐๐คฃ๐คฃ
una mtoto??Mkuu mambo ni mengi ukimpa uhuru sana mtoto unampoteza, kumbuka katika umri wa utoto kutambua kama unakosea ni ngumu sana.
Sina, kwanini?una mtoto??
Nothing broSina, kwanini?
Jamani๐คฃ๐Hukupata baraka za wageni ndio maana ni jobless mpaka kesho.