Uwoga, ushamba, lack of confidence, lack of preparation all in one. This things are not automatic lazima wafanye mazoezi and that is where Zain kama sponsor needs to come in. Kuwapa access to internet and reading material ili waweze kujitayarisha vizuri. Halafu wanatakiwa washindanishwe na wenzao at 3 times kabla hawajaenda kwenye mashindano. Nimesomea vyuo vya Kenya na hawa watu are serious about this competitions. Kila wiki timu iliyochaguliwa kurepresent chuo wanashindanishwa na wenzao kama part ya matayarisho so by the time wanaenda kwenye mashindano confidence zao ni za hali ya juu. Hapa nadahani tatizo linaanzia kwenye selection kwani if you mess up there even the team that you will send to represent will mess up. Zain wao wanafacilitate mashindano lakini hawajihusishi sana na maandalizi ya teams zilizochaguliwa na this gives them a bad negative association kwani there's no return on the investment. Lakini hawana budi kuendelea na sponsorship hii since ni ya karibu bara zima but i'm sure wenzao huwa wanachekelea coz every year our teams are the laughing stock.
Unasema there is no return on investiment wakati wamefisadi TTCL????