Jamani ZAIN challenge!

Uwoga, ushamba, lack of confidence, lack of preparation all in one. This things are not automatic lazima wafanye mazoezi and that is where Zain kama sponsor needs to come in. Kuwapa access to internet and reading material ili waweze kujitayarisha vizuri. Halafu wanatakiwa washindanishwe na wenzao at 3 times kabla hawajaenda kwenye mashindano. Nimesomea vyuo vya Kenya na hawa watu are serious about this competitions. Kila wiki timu iliyochaguliwa kurepresent chuo wanashindanishwa na wenzao kama part ya matayarisho so by the time wanaenda kwenye mashindano confidence zao ni za hali ya juu. Hapa nadahani tatizo linaanzia kwenye selection kwani if you mess up there even the team that you will send to represent will mess up. Zain wao wanafacilitate mashindano lakini hawajihusishi sana na maandalizi ya teams zilizochaguliwa na this gives them a bad negative association kwani there's no return on the investment. Lakini hawana budi kuendelea na sponsorship hii since ni ya karibu bara zima but i'm sure wenzao huwa wanachekelea coz every year our teams are the laughing stock.

Unasema there is no return on investiment wakati wamefisadi TTCL????
 
Mimi nimo hapo

Back to ze madaz.

Si huwa wanapewa maswali mengi wanasoma then wanaulizwa?
Ahh hili sijui lakini noma tupu. Kisa kinajulikana. pamoja na kuelewa unaenda wapi na unatakiwa kufanya nini watuw anaokwenda pale utazania wamezoea mzula. Unapotaka general knowledge lazima uzame kwelikweli kwenye topic unachagua sheria halafu mambo kikindakinda. jamani ilikuwa noma. Hawakujipanga inshort.Unatrakiwa kuruhusu best brain kwenda katika busara na kumbuku za fast. pale ni michuano ya unakumbuka nini na how fast. Si shule ni majedwali ya maswali sasa kama huna nyenzo za kutamalaki Ulaya unataka nini huko Ulaya?Unataka Shakespear mwenyewe mvivu wa kusoma ukichapwa na sentensi unachemka ha ha ha sisi kama mafala vile
 
Hii ndio society ya paper qualifications, na ndio faida ya kuogopa competition na kukubali kuwa taifa la kupendelewa, hivyo ndivyo viongozi wetu hao wanaopewa cheo kupendelewa mpaka vigezo vinashushwa ili mkinga mwenzie na Luhanjo apate kazi, wanatia aibu usiombe kushiriki negotiations na timu za tanzania, content zero, kingereza mungu ndio anajua ili mradi wana dola 500 kodi za watanzania kwa siku za shopping. God forbid, sasa wenzangu tufanyeje ili kubadilisha hali hiyo? haya mashindano yanatuharibia sana watanzania katika soko la jumuia ya afrika mashariki, hakuna investor atakaye employ watanzania hao maana anaona hicho ni kigezo Pinda aliulizwa na mama lwakatare bungeni, kama kawaida ya watanzania wakishakula madaraka na kubadilshiwa mafundi wa suti, akajibu kwa kebehi kwamba hicho ni kiingereza tu tunawajua hawana lolote.Kama Alex Malasusa anayeitwa Askofu anakua mnafiki wa kuipongeza serikali ya kikwete kwa kuboresha elimu wakati dunia nzima inajua kwamba makanisa ndio chachu ya elimu lakini na yeye anawatendea dhambi kubwa watanzania hata kukubali kuitwa daktari huku akijua si daktari, si tumekwisha?
 
Siyo kwamba hawana elimu, tatizo ni confidence ndo inakosa, mara nyingi ndugu zetu wanakuwa na inferiority complex katika kujibu!

Maswali mengi yanayoulizwa yanahitaji jibu lenye maneno machache: wakati mwingine ni Neno MOJA tu, sasa kutaja tu nayo inahitaji confidence? Na wanaoenda walishajua cha kufanya ni kwanza kujua JIBU na timing ya kubofya. Nadhani kuna tatizo ya uelewa wa wanafunzi vyuoni...
 
Ama kuna some sort of komunikeshen barrier, coz that might lead to the poor performance... am just thinking out loud

Smatta, hakuna cha communication barrier wala nini, it is my understanding that these students are chosen from "among the best" at their unis ( something that I just think of as danganya toto on Tz's side, coz I worked at one of those Uni's and not once did I hear of any sort of process of choosing these vilaza)

Unafikiri wangeulizwa kwa kiswahili ndio wangejibu? Kwanza that guy speaks such clear English!!
 
Hivi haya maswali yanayoulizwa kwenye "ZAIN Challenge" yanahitaji elimu ya CHUO KIKUU? Haya maswali yanaweza kujibiwa hata mtoto wa Form I au II mwenye kupenda kusoma vitabu na makala mbalimbali.

Swali kama hili linahitaji degree ya CHUO KIKUU?

Lets go India: When did the Construction of Taj Mahal began?
 
Toka nimeingia hapa nabaki kucheka, na sasa tunachekana!
Kama adui wa mwanamke ni mwanamke, je adui wa mtanzania ni nani?
kwanini tusisifiane tu hata kidogo bana..!?

Mtu husifiwa kwa kizuri akifanyacho ss kama upo EMPTY HEAD tukusifie kwa UZUZU ??
 
yaani nilitamani kumuona yule dada angalau anahangaika kubonyeza kitufe, lakini wapi! yaani kama alishakubali yaishe!
 
Hivi haya maswali yanayoulizwa kwenye "ZAIN Challenge" yanahitaji elimu ya CHUO KIKUU? Haya maswali yanaweza kujibiwa hata mtoto wa Form I au II mwenye kupenda kusoma vitabu na makala mbalimbali.

Swali kama hili linahitaji degree ya CHUO KIKUU?

Lets go India: When did the Construction of Taj Mahal began?

...Mzee Mwenzangu, Hapa umemaliza Yote!
 
Jamani mi sikujua kama huwa wanapewa yale maswali kabla wanasoma na majibu yake. Kama ni hivyo basi sisi watza tuna tatizo. Maana kama tukio la j2 yule binti wa Tumani alikuwa ni kama anatoka usingizini. Kwa kweli ilinikera sana...Lakini kama alivyosema mdau mmoja hapo nyuma wanafunzi wa Tz wanatakiwa kubadirika mambo ya madesa yanawapoteza sana. Ni aibu tena leo na gazeti moja limeponda jinsi Tumanin University walivyotokota.
 
Hii picha halisi ya watoto wetu, wengi wao wako chuo kupata cheti then wapigiwe chapuo la ajira na ndugu zao na huko makazini vibarua vilindwe na mashoga wa mama zao, hawako makini kupata taaluma ili wastragle kivyao.
 
the problem is who is choosen to attend the competition, nilipokua pale mlimani sikuwai sikia tangazo la kutafuta watu wenye uwezo wa kwenda kushiriki, cjui ni kwa kua mshiriki pekee kuna pesa kidogo ndio maana inakua dili, yaani nilikua nakasirika kuona mwanafunzi wamlimani anashindwa kujibu simple qstns! kungekua na inter-faculty competition then wale bora ndio wapelekwe uko! tatizo ni selection process, kama vile kwenye vyuo vya serikali exchange program za wanafunzi unakuta majina tu yamebandikwa hujui utaratibu gani ulitumika kuwachagua kwa iyo pale pa kuaibika ndio kama ivyo udhaifu wao unaonekana!
 
Back
Top Bottom