Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,412
- 26,887
Hakuna kwa maana android kila kampuni inaweka security ze way inataka mfano frp ya s7 huwez weka sana na phantom6 ya tecno. Frp ya simu za kichina ni ganda la ndizi tu.Ah so hakuna universal software ya hivyo
Mziki upo kwa simu za qualcom
Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile app