Jamani wanaume wachaga ni hatari...!

Jamani wanaume wachaga ni hatari...!

Ndio ivo best mwanaume pesa na huduma, surual mavaz 2 na sura hata mbuz anayo
 
Yaan nimeanza nae 4yrz nw hajawah omba sex yeye ni huduma 2, mengne mpaka ndoa

Je una uhakikia gani kama si mwanamke mwenzio???????????????........Jipange usijekuta gobore risasi moja then kukoki kwa sana.
 
mmh!! huyo either kakudanganya kuwa yeye ni mchaga na huyo ni mmatumbi, pili kama hana miwaya na lengo lake ni kukuambukiza tuu maana hiyo ni dalili ya wasambaza miwaya basi atakuwa kunakitu anatafuta kwako na yuko radhi akigharamie kwa gharama yoyote ile ila kikipata tuun imekula kwako.
Angalia huwezi jua unaweza kuta ni shushushu huyo ametumwa anatafuta taarifa kwako na zinagharamiwa ili uwe radhi na ataonesha tabia tofauti na za wanaume wengine ili tuu apate anachotaka, la atakuwa hana kifanyio na amekufurahia uwe rafiki yake hivyo anaenjoy huku anakufurahisha wewe bila wewe kujua......... kaa chonjo au watch out!!
 
Teni ilemba lanyweni kwani swaasu vashaka du wabahili kwa vafele ku, na iera msukule ni kila mndu ku ni baadhi tiki, Mbona sisi wachaga tupo simple sana hatuna tatizo na mtu na hiyo kuchukua msukule sio kila mtu anachukua na kwa wale wanaochukua najua ukitaka kuchukua unaanza na wazazi, wanafuatia watoto wako unaowapenda sana, ukishamaliza anafuatia mke na ndugu na jamaa na wakati huo ukijua kifo kinawadia
 
Ni kweli wanaume wa kichaga wanajua sana kuhudumia MKE na sio kimada na wanajali sana familia kwa ujumla. Tatizo la hawa kaka zetu ni moja tu, hawako romantic na libeneke hawaliwezi vizuri yani utasikia "wewe mama manka fridge imejaa chakula, mafuta nimekujazia kwenye gari, pesa imejaa huko ndani chochote nunua kwa nini hutosheki wewe mwanamke?" hapo mama manka kaomba haki yake... heheheheh mpo kaka zangu? haya mbadilike hatutaki matumizi tu, ile kitu muhimu zaidi bwana!
 
Ni kweli wanaume wa kichaga wanajua sana kuhudumia MKE na sio kimada na wanajali sana familia kwa ujumla. Tatizo la hawa kaka zetu ni moja tu, hawako romantic na libeneke hawaliwezi vizuri yani utasikia "wewe mama manka fridge imejaa chakula, mafuta nimekujazia kwenye gari, pesa imejaa huko ndani chochote nunua kwa nini hutosheki wewe mwanamke?" hapo mama manka kaomba haki yake... heheheheh mpo kaka zangu? haya mbadilike hatutaki matumizi tu, ile kitu muhimu zaidi bwana!
Inaonyesha jana ulikikosa ile kitu
 
Kwanza wakikupenda wanahudumia mpaka unasema POOO yaan kuanzia matumizi, mavazi en everything! wanaosema wabahil waongo![/QUO

eti nanani? Mchagaaaaa Nyooooooo
Huyo labda kalasinga umempata
 
Ni kweli kabisa.....sasa hivi tupo vizuri hiyo idara.....na tukipenda tumependa...tukiacha tumeache....we care
 
Back
Top Bottom