Jamani wanaume wachaga ni hatari...!

Jamani wanaume wachaga ni hatari...!

hiv hii aliwahi kuiona Kaunga kweli
ahahhahahhaa nna wasiwasi!
cc Mkirua
 
Last edited by a moderator:
Yaan nimeanza nae 4yrz nw hajawah omba sex yeye ni huduma 2, mengne mpaka ndoa
UUUuuuuuuuuuuuuh!!! umenichosha mbaya!!!!!! ninapata wasiwasi na huyo Mangi ni mzima kweli??????? Au ????? Mshumaaa anawamulika wenzie wakati yeye anakwisha.
 
Hata siku moja huyo hatokuwa Mangi nimjuaye mimi, na kama anakupa mapesa yake yote hayo anamalengo ya kuyarudisha zaidi ya hayo kupitia wewe, wenzio wakati wanatoa wanapiga hesabu ndefuuuuu!!! So be care!!!

Hesabu ya kuoa ama ipi?
 
Huyo hajakulia kwao au ana kasoro zinazomfanya anaogopa kupigwa kibuti. Au, au, au ana ile kazi maarufu ya wachagga.

Ndio ipi hiyo? Wachagga sio mapunda kama hao mapunda yenu
 
aiseee!mi huko sirudi tena hata maji ya kunywa sikuambulia..kidogo nife kiu
 
Ndo zao.....me pia ninae shost,fulu pack pad,galaxy na pesa kila siku lazima anitumie kwa tigopesa ya naul ya chuo na sijawah kungonoka nae.Kanihusudu mwenyewe ila ukimuona hata hutomtaka,hana mvuto wanaotaka mabint
 
Yewomiiiiii! Yesu na Maaaria aisee...yani miaka 4 hajaonja! atakuwa mchaga pori Arawa!
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Yewomiiiiii! Yesu na Maaaria aisee...yani miaka 4 hajaonja! atakuwa mchaga pori Arawa!

Na kabla ya ndoa ni ANGAZA Kwanza asije akawa yeye mleta mada anaponea pembeni. For real wengi wangekuwa kama huyu jamaa haya mavibuti na matatizo kwenye ndo yangepungua na nchi ingemea kwa baraka.
 
^^
Una bahati wewe!!
Kumbuka shibe ikizidi njaa haiko mbali
^^
 
Research yako kwa mchaga mmoja haitoshi kutoa conclusion
 
Kwa kuwa sijawahi kudate na mchagga
siwezi kusema lolote.
 
Back
Top Bottom