Jamani wanaume wachaga ni hatari...!

Jamani wanaume wachaga ni hatari...!

Angalia isiwe kwasababu ni cku za mwanzo haojamaa hawaaminiki na usijitape zaidi badae ukarudi na mengine hapa.
 
Huyo hajakulia kwao au ana kasoro zinazomfanya anaogopa kupigwa kibuti. Au, au, au ana ile kazi maarufu ya wachagga.
 
Kwanza wakikupenda wanahudumia mpaka unasema POOO yaan kuanzia matumizi, mavazi en everything! wanaosema wabahil waongo!
Mmh wewe tuulize sisi unaowasema ndio baba zetu na kaka zetu hao tunawajua fika hapo ulipo angalia vizuri
 
waaaaaai , anakupiga hela sasa ivi, wachaga kwa vimbola cku izi ni zaidi ya hatari ..UTARUDI HAPA UKIWA ZEZETA
 
wanaokota magari pale kwa LUSEKELO kama nyanya...
Cjui kuna siri gani kati?!

Angalizo tu ..usije ukapata watoto misyuka..
 
wanaokota magari pale kwa LUSEKELO kama nyanya...
Cjui kuna siri gani kati?!

Angalizo tu ..usije ukapata watoto misyuka..

Yamekukuta au kuna mtu yamemkuta chezea trasfomaaaaa wewe
 
Hata siku moja huyo hatokuwa Mangi nimjuaye mimi, na kama anakupa mapesa yake yote hayo anamalengo ya kuyarudisha zaidi ya hayo kupitia wewe, wenzio wakati wanatoa wanapiga hesabu ndefuuuuu!!! So be care!!!
 
Hata siku moja huyo hatokuwa Mangi nimjuaye mimi, na kama anakupa mapesa yake yote hayo anamalengo ya kuyarudisha zaidi ya hayo kupitia wewe, wenzio wakati wanatoa wanapiga hesabu ndefuuuuu!!! So be care!!!

dah huyo ni mmoja kati ya milioni ila all the best girl
 
Jamani siye hatuna shida muulizeni exkidumu wangu King'asti atawaambia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom