vibee
Member
- Mar 5, 2014
- 49
- 21
Wanajamvi habari zenu,
Katika hili numeamua kulianika kwa maana nimekwenda katika kituo cha afya na wife na kumkuta Dr in charge was kituo na kututoza 12000 Tsh KWA ajili ya kumpima wife.
Kiukweli huyu jamaa hafai kwa maana usipolipa hampati huduma.Ningeomba wanajamvi huyu jamaa ashughulikiwe.
Katika hili numeamua kulianika kwa maana nimekwenda katika kituo cha afya na wife na kumkuta Dr in charge was kituo na kututoza 12000 Tsh KWA ajili ya kumpima wife.
Kiukweli huyu jamaa hafai kwa maana usipolipa hampati huduma.Ningeomba wanajamvi huyu jamaa ashughulikiwe.