Jamani wafundisheni wanawake kuoga

Jamani wafundisheni wanawake kuoga

Habari,

Nakereka sana unakuta mtu unapishana na mwanamke ananuka jasho siyo kawaida, mtu ananuka kikwapa, harufu ya mikojo, ananuka nyapu, na harufu ya uvundo wa nywele pamoja na nguo zake.

Ukimuangalia miguuni na panapo kipochi manyoya ndiyo unachoka kabisa.

Mwingine anapuliza pafyum juu ya mwili mchafu na nguo alizorudia kuzivaa zenye majasho, mwingine anavaa nguo safi juu ya mwili mchafu na bado ananuka ila anajiona kang'aa, mnatupa shida sana sisi wanaume.

Mbaya zaidi apande daladala halafu asimame mbele yako huku wewe umekaa ndiyo utajua hujui.

Hata kama mwanamke ni choka mbaya epuka kutoa harufu ya uvundo.

NB: Kuwa msafi tuu, mwanamke msafi ni fahari ya mwanaume.
Mbunye ( K ) inachakatwa ( inatiwa ) na Wanaume Kumi ( 10 ) kwa Siku ili Hela ya Mikopo ya Kausha Damu na ya VICOBA ipatikane Unadhani hata Ikioshwa na Maji ya Upako ya Tanganyika Packers Kawe au ya Kimara Temboni itaacha Kutema ( Kunuka ) Mkuu?
 
Back
Top Bottom