cjambo kabisa hofu kwako kipenzi, hivi lengo la ndoa ni kuanzisha familia? au cjakuelewa luv, hebu nidadavulie.
Nikikuona u mzima na mi lazima niwe mzima....
Kuanzisha familia yaweza kuwa lengo mojawapo......(ofkoz its a must kwa jamii zetu)..
Kama lengo (mojawapo) ni kuanzisha familia....umri ni muhimu sana......