FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Salama iko wana JF?
Nina jambo kidogo linanitatiza katika karne hii ya utandawazi..
Kuna hii issue ya mahusiano yaliyopo sasa....
Ukijaribu kuuliza mabinti issue ya kuoa na kuolewa utasikia majibu yao waoaji hawapo siku hizi
Ukiuliza wanaume nao jibu utasikia ni lile lile siku hizi waolewaji hawapo
Inakuwaje wakati idadi ya single wakike na single wa kiume ni wengi sana
Kwanini jibu linakuwa waoaji waolewaji hawapo?
Hivi kama kila mtu ana majibu ya dizaini hii nini hatima yake??
Kulikoni?
Nina jambo kidogo linanitatiza katika karne hii ya utandawazi..
Kuna hii issue ya mahusiano yaliyopo sasa....
Ukijaribu kuuliza mabinti issue ya kuoa na kuolewa utasikia majibu yao waoaji hawapo siku hizi
Ukiuliza wanaume nao jibu utasikia ni lile lile siku hizi waolewaji hawapo
Inakuwaje wakati idadi ya single wakike na single wa kiume ni wengi sana
Kwanini jibu linakuwa waoaji waolewaji hawapo?
Hivi kama kila mtu ana majibu ya dizaini hii nini hatima yake??
Kulikoni?