Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
- Thread starter
- #21
Hii thread imeanzishwa na mtu anaitwa matope! Sina uhakika kama hayo matope yanamaanisha ubongo au nini. But Kikwete amechaguliwa na watanzania 5,000,000 out of 20,000,000 waliojiandikisha kupiga kura. Its no wonder kura 12000000 zilifutwa na nec ili kumpa ushindi Kikwete. Huhitaji elimu ya PhD kujua kwamba kura zilizompa madaraka kikwete si representative ya tanzanian majority.
Una uhakika kwamba kura 12 ml zilifutwa weka ushahidi hapa!which means waliopiga kula ni 17 ml,wacha mambo yako bana rudi kwenye web ya Nec kaangalie vzr data!