jamani nyie wanaume





asante DCM,Ila jua kwamba sijawahi kumlazimishi anioe,ila neno moja tu afunge safari hadi Zanzibar akawaone wazee na kuwaambia kwamba naishi na mtoto wenu mkoani.Kuishi na mtoto wa mtu alafu wazazi wake hawajui hiyo ni laana kubwa hata Allaa hapendi,ila mie namtakia heri na Mola amzidishie kwa mabaya yake na majibu yake machungu. acha niludi kwetu najua ntauza hata Samaki ili maisha yaende.
 
hehehehehehe nicheke kama mazuri wenzio huwa wanaenda kwa kuiba ww unajikabidhisha mzima mzima kama zigo la kuni......pole sana hiyo miaka 3 ungekuwa umefika mbali kimaisha,hata hivyo bado hujachelewa kusanya vilago vyako upange chumba kingine uanze maisha upya kwani wenye dushelele wapo wengi sana ila usirudie kosa la kujikabidhisha bila hata ndoa ya mkeka.
 

Wewe komaa tuu. Kwa mujibu wa sheria za Nchi Tanzania na Nchi nyingi duniani ni kwamba pale unapoishi na mwenzako maisha ya kindoa kwa miaka miwili au zaidi serekali inawatambua kama wana ndoa. Na unahaki zote kama Mke/Mme.

Wewe Tulia usiruke njia na usikubali akunyanyase. Vyombo vya kukusaidia vipo pale hutapoitaji Msaada.

Banana hapo hapo...Siku moja itakula kwake tuu.
 

Du hii dozi kali sana mbona dada Kaunga?

Halafu, 3 yrs si ni ndoa kisheria? akadai tu wagawane mali then asepe..hahah..au akubali kufujwa mazima asepe? #sidhani
 
Last edited by a moderator:
Asnam nahisi haujanielewe vizuri,sipendi maisha ya kuwa na mtu huyu mala yule .mie ni msicha ambaye nimeshika sana dini na nimetulia sana.ila nashangaa mwenzangu namwambia kitu cha heri yeye ananijibu kishari na sijamlazimisha kwamba lazima unioe hapana cpo ivo.sikutegemea kama cku moja yangekuja kunikuta haya.anyway acha nianze na maisha yangu kwani nikitulia na kujitunza naimani atakuja wa saizi yangu.

Nakili nimekosa sana kuishi naye bila ndoa.
 
si bora amekuwa mkweli.ingawa ukweli unauma,nashangaa juu ya kuambiwa hivyo,bado unauliza jf.anza maisha yaki kivyako.pengine unapokaa hapo unazidi kujikosesha riziki yako,amini kuwa yupo mwengine na utampata tu,ila liwe funzo usikubali kuhamia kwa mwanamme.wengine wakishatia wee mwisho wanakuona wa kawaida tu,na kwa kuwa wanajijua hawajaoa,watakupelekesha wanavyojua wenyewe
 
Asante Toria kwa ushauri wako mzuri.Naimani utanisaidia kwani umuhimu wa mtu utaujua pale atakapo kuacha au kukaa na wewe mbali.
 
Tafuta kichaka usepe, huna lako hapo.
 
Pole sana mwanangu! Una bahati kwamba umeambiwa hayo bado ukiwa ni msichana, wengine huambiwa hivyo wakishafikia 30's or even 40's. Mimi nakushauri kama hadi leo hii hujakunja kunja vitu vyako ufanye hivyo urudi ulikotokea haraka, huo mkoa haukufai hata kama kazi yako inalipa..! huyo si mtu wa kuishi nae hata kwa dakika moja.. nakutakia kila la kheri, Mungu akupatie kazi nzuri, pia upate mchumba mwengine wa kukufariji, kukuoa na kupata familia..
 
kwa mujibu wa sheria mkiishi pamoja kwa muda wa miezi 3 nyie ni mume na mke,ila ndoa hailazimishi ukilazimisha utateseka.na sio wanaume ndio tulivyo co wote ila usilazimishe tulia utapata atakae kuja kujitambulisha.

Hakuna sheria ndani ya Tanzania inasema 'mkiishi pamoja kwa miezi 3 ninyi ni mume na mke' tafuta THE LAW OF MARRIAGE ACT Cap 1971 revised 2002, Section 160 or 166 Subsection 1 and 2. Inasema presumption of marriage ni kuishi pamoja kama mume na mke kwa miaka 2 mfululizo. Ni rebutable presumption (Dhana inayopingika) inayofutwa kwa kukosekana ushahidi wa ndoa. Only it apply when spouses who live together for 2yrs consequently or more, and then seperation occurs, woman has rights to sue for her maintaness...
So, hao kisheria wanatambulika bado ni wazinzi.
Kisheria huyo m/ke hawezi kunufaika na chochote unless and untill atelekezwe na huyo m/me. Moreover, kama waliahidiana kuoana, na huyo m/mke ana ushahidi juu ya hilo anaweza kumshtaki kwa kuvunja ahadi ya ndoa (breach of marriage promise). Cha msingi hapendwi aondoke zake tu....
 
Ambacho huelewi nini hapo? wakati amekwambia hakutaki? watu wengine bwana.
 
Muwe mnajifunza wadada, we mtu umemkabidhi mbunye aifanyie anachotaka unategemea atakuoa?? kisheria hiyo inaweza kutambulika kuwa ni ndoa, so asikunyanyase sana una uwezo wa kumbananisha, lakini kwa kuwa ameshaweka wazi msimamo wako ni vema ukaondoka kwa amani, sio mtu anakwambia maneno mabaya kama hayo na wewe unaendelea kumpanulia tu ale dudu,shaurilo!!!!!
 

jipange,uondoke hapo kwake
pangisha kwako,huyo hakutaki live
pia ukiondoka usijichoshe na mastress
pendeza zaidi ya ulivyo sasa ajue maisha bila yeye yanawezekana!!
 
pole sana dada ila kama huyo bf wako ameishakuambia hatarajii kuja kukuoa na ww bado unamng'ang'ania,tafakari na mwishoe chukua hatua muafaka.
 
Pole kwa kweli sometime ukauzu ni mzuri sana, kuwa kauzu ondoka halafu fanya mambo yatayokuletea maendeleo.
 

huyu jamaa atakuwa ni mbwa! ushetani wote huo wa nini kwa mtu aliejitolea kila kitu kwa ajili yake? binadamu .................
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…