Tangu nilipozaliwa na kupata fahamu zangu ninasikia wakubwa na wadogo wanalitamka na kulitumia neno MAPENZI.Naomba wn jf mnisaidie maana halisi kwa sababu linapolituka kwa kijana mfano ukimwambia MPENZI WANGU HUJAMBO. Na kijana wa kiume mwenzake watagombana hivi kumwita mtu mpenzi wangu inamanisha unamtamani?au mvulana kumsalima msichana MPENZI WANGU HUJAMBO unamtaka.please nisaidieni