Jamani nimezaliwa leo

Jamani nimezaliwa leo

Baba Erick

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
483
Reaction score
75
Hello wanaJF ninayofuraha kuwaalika katika birthday party yangu hapa nyumbani i wish niwe nanyi wadau kwani MMU makes my life very comfortable ila mazingira hayaruhusu. LOVE U ALL
 
Hongera sana Mkuu. Hivi unatimiza miaka mingapi vile? lol
 
Furahia sikuyako ya kuzaliwa Baba Erick
 
Hata mimi nimezaliwa leo, miaka mingi iliyopita. Happy B'Day twin
 
Hello wanaJF ninayofuraha kuwaalika katika birthday party yangu hapa nyumbani i wish niwe nanyi wadau kwani MMU makes my life very comfortable ila mazingira hayaruhusu. LOVE U ALL

unaishi wapi Mkuu nikuletee angalau thubu ya kongoro? Hepi besdei ndugu yangu.Hauolayunao?
mkuu lazima uwe unanuka hela maana mnashea besdei na Kibopa Yusuf Manji,hahahahaaaa!!!!
 
Hello wanaJF ninayofuraha kuwaalika katika birthday party yangu hapa nyumbani i wish niwe nanyi wadau kwani MMU makes my life very comfortable ila mazingira hayaruhusu. LOVE U ALL


HONGERA ...........LKN UMEKUMBUKA KUVAA NEPI?Maana huo mkojo.
 
unaishi wapi Mkuu nikuletee angalau thubu ya kongoro? Hepi besdei ndugu yangu.Hauolayunao?
mkuu lazima uwe unanuka hela maana mnashea besdei na Kibopa Yusuf Manji,hahahahaaaa!!!!

Mhuuuh! .naishi Tabata bima lol.
 
Hello wanaJF ninayofuraha kuwaalika katika birthday party yangu hapa nyumbani i wish niwe nanyi wadau kwani MMU makes my life very comfortable ila mazingira hayaruhusu. LOVE U ALL

epi best dei Baba Erick. Kwako ni wapi tuje kujumuika? Hebu tupe ramani
 
Back
Top Bottom