jamani nimempenda Aminata wa Jf nifanyeje?

Jakubumba

JF-Expert Member
Mar 5, 2011
1,624
500
nimependezwa sana na jinsi aminata anavyojibu post za watu mbalimbali humu kiasi kwamba huwa nikiona post mpya tu namtafuta nione amejibu vipi. Yani kwa ufupi nimekufa nimeoza ingawa maana nisipokuta majibu yake huwa siendelei kusoma reply za wengine. Mnisaidie mie mwanaume nifanyeje ukizingatia Aminata simjui? Asije akawa ni mwanaume anatumia jina la kike yakawa tena mambo ya ku-kameroni!!!
 
daah kueleza hicia zako ni haki ya msing kabisa wala usiogope japo kukubali au kukataa ni haki yake ya msing pia..try to make the most of it.
 
nimependezwa sana na jinsi aminata anavyojibu post za watu mbalimbali humu kiasi kwamba huwa nikiona post mpya tu namtafuta nione amejibu vipi. Yani kwa ufupi nimekufa nimeoza ingawa maana nisipokuta majibu yake huwa siendelei kusoma reply za wengine. Mnisaidie mie mwanaume nifanyeje ukizingatia Aminata simjui? Asije akawa ni mwanaume anatumia jina la kike yakawa tena mambo ya ku-kameroni!!!
 
Jana kuna mwenzio kaanzisha thread hapa kawasiliana na mtu anajua ni dada kumbe ni dume...take care kuna wengine wana behave viceversa....utaishia kuombwa umtumie nauli aje huko mliko muonane ndio utagundua ulikua unapenda dume jenzio.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom