Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
nimependezwa sana na jinsi aminata anavyojibu post za watu mbalimbali humu kiasi kwamba huwa nikiona post mpya tu namtafuta nione amejibu vipi. Yani kwa ufupi nimekufa nimeoza ingawa maana nisipokuta majibu yake huwa siendelei kusoma reply za wengine. Mnisaidie mie mwanaume nifanyeje ukizingatia Aminata simjui? Asije akawa ni mwanaume anatumia jina la kike yakawa tena mambo ya ku-kameroni!!!