Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Nilikuwa nimepumzika leo mchana baada ya kutoka darasani ghafla nimeota nafungua jf kwenye simu yangu nakumbana na ujumbe umeandikwa kwa rangi nyekundu ." "THIS FORUM HAVE BEEN CLOSSED" eti kwa sababu za kiintelijensia, hivi jamani hili linaweza kutokea au? but namshukuru Mungu huwa mara nyingi mm ndoto ninazoota mchana hazitokei.