Jamani nimeamua kuokoka

Jamani nimeamua kuokoka

Mkuu umeamua jambo jema na Mwenyezi Mungu akubariki sana, usije muacha Bwana Yesu hata ukamilifu wa dahari,, ukianguka simama tena, nakuombea sana kwa uamuzi wako huo kama unamaanisha mkuu
 
Mwaka 2014 nilipita katika misukosuko mingi ikiwemo kukoswa koswa kuuwawa mara kadhaa.. hata hivyo ni Mungu ndie aliyekuwa akinilinda kwa makusudi yake ili nimtumikie na kuwapeleka watu wengi kwa Yesu kupitia kazi yangu.. hivyo jana tar 1/1/2015 nimeamua kumpa Bwana Yesu kuwa mokozi wa maisha yangu.. najisikia amani sana na hofu yote imekwisha..
Mungu awabariki wana JF wote,
happy new year.

Lakini kufa kuko pale pale mzee, na safarii hii hakuna kukoswa koswa !
Huyo wa mwanzo hakuwa Mungu !........wa Kweli hakosi !
 
Umekoswakoswa kuuwawa mara kadhaa!? Ulikuwa kibaka right!? Bahati yako, umechelewa sana kumjua Mungu.. Angalia ulokole wako usije kuwa FAKE kama wewe mwenyewe!! Watakuuwa tu.
 
Karibu sana katika Jeshi la Yesu. Kumbuka wewe sasa ni wakili wa siri za mbinguni, uwe mwangalifu kutenda sawasawa na iwapasavyo watakatifu. B blessed
 
Kuokoka ni kumpa Yesu Kristo maisha yako na yeye kuwa Bwana na mwokozi wako.
 
Mwaka 2014 nilipita katika misukosuko mingi ikiwemo kukoswa koswa kuuwawa mara kadhaa.. hata hivyo ni Mungu ndie aliyekuwa akinilinda kwa makusudi yake ili nimtumikie na kuwapeleka watu wengi kwa Yesu kupitia kazi yangu.. hivyo jana tar 1/1/2015 nimeamua kumpa Bwana Yesu kuwa mokozi wa maisha yangu.. najisikia amani sana na hofu yote imekwisha..
Mungu awabariki wana JF wote,
happy new year.

Uamuzi bora kuliko yote uliyowahi kufanya..
 
hata mimi nimeokoka karibu kwenye ufalme wa Mungu mpendwa
 
Mwaka 2014 nilipita katika misukosuko mingi ikiwemo kukoswa koswa kuuwawa mara kadhaa.. hata hivyo ni Mungu ndie aliyekuwa akinilinda kwa makusudi yake ili nimtumikie na kuwapeleka watu wengi kwa Yesu kupitia kazi yangu.. hivyo jana tar 1/1/2015 nimeamua kumpa Bwana Yesu kuwa mokozi wa maisha yangu.. najisikia amani sana na hofu yote imekwisha..
Mungu awabariki wana JF wote,
happy new year.

Badili avatar yako, maana ulokole hauendi NA fake id
 
Ila usiende kwenye makanisa ya kufufua misukule watakufirisi.
 
Hongera kwa kufanya maamuzi magumu,Mungu akuwezeshe ktk safari hii ya wakovu, cha msingi uvumilivu na kukumbuke pale utakapoanguka na kurudi kwa rehema, nakutakia maisha mema ktk safari hii ya wokovu fake ID
 
Mkuu umeamua jambo jema na Mwenyezi Mungu akubariki sana, usije muacha Bwana Yesu hata ukamilifu wa dahari,, ukianguka simama tena, nakuombea sana kwa uamuzi wako huo kama unamaanisha mkuu

Kama unampa nafasi ya kuamka tena endapo ataanguka, Je! Alichookokea ni kitu gani..

Nini maana ya kuokoka..
 
Lakini kufa kuko pale pale mzee, na safarii hii hakuna kukoswa koswa !
Huyo wa mwanzo hakuwa Mungu !........wa Kweli hakosi !

You are now a confirmed serial liar - and you know it, in the same token, you simply do not have the proof to claim without a doubt that your god actually exists.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom