Jamani nimeamua kuokoka

Jamani nimeamua kuokoka

Hongera sana na endelea kumshikilia huyu YESU usimwache, wala usikatishwe tamaa na hao wanaokubeza, unajua binadamu saa zingine ni watu wa ajabu huwa sijui tunataka nini. mtu angetangaza ameamua kuwa jambazi au mchawi humu, bado watu wangembeza, sasa mtu ametangaza ameamua kuokoka watu wengine bado pia wanambeza!! songa mbele ndugu maisha haya ya duniani yana mwisho lakini roho zetu ndio zitaishi milele. sioni shida kujitangaza kwako kwani hata YESU alisema "“Basi, kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, nami nitamkiri mbele za Baba yangu aliye mbinguni. Bali mtu yeyote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni” (Mathayo 10:32,33). keep on katika wokovu.
 
Sisi wa ulimwengu wa tatu tuna shida sana. Dini na madhehebu yamekuwa kama biashara, haya ni matokeo ya dhiki tulizo nazo wala hamna kingine. UTAJIRI & MARADHI ni shida kwa nchi za ulimwengu wa tatu...!
 
kama kuokoka kusingekuwa ishu njema, basi Yesu asingekuja duniani kuokoa wanadamu. hongera Fake ID​ umefanya uamuzi mzuri.
 
Hongera, umechagua fungu jema!
 
Yesu akuongoze ktk maamuzi hayo na ubarikiwe milele.
 
Kwa Yesu kuna amani ya milele, hongera sana
 
stress zimeisha ndugu tangu jana... maana hakuna hukumu ya dhambi kwa hao waaminio karibu na wewe.

Ujambazi ni kitu kibaya sana...

Umeokokea nini ndugu yangu....Au unamaanisha umeokoka na janga la kuuuawa..
 
Umechagua fungu lililo jema cha muhimu omba neema ya kusimama kwenye huo wokovu maana ukianguka utakuwa mwovu zaidi ya ulivyokuwa mara ya kwanza
Pia jitahidi kuwa sehemu wanayomuhubiri kristo wa kweli na sio hao wasaka tonge wanaojiita manabii!

Sasa nini hicho alichookokea kama atakuwa katika hatari ya kuanguka tena...???

Kuokoka maana yake ni nini..???
 
kama kuokoka kusingekuwa ishu njema, basi Yesu asingekuja duniani kuokoa wanadamu. hongera Fake ID​ umefanya uamuzi mzuri.
Hebu wewe kama wewe nieleze maana ya kuokoka...Nini hasa unaokoka nacho..
 
"yule aliyekuwa kipofu akaulizwa, macho yako yalifumbuliwaje? na je hujui kuwa huyo Yesu ni mtu mwenye dhambi?"
kipofu akajibu..
"Ninachojua nilikuwa kipofu na sasa naona basi!!!!"
nami ninachojua nilikuwa mwenye dhambi nyingi pengine kuliko wanaJF wote na Mungu amenisamehe basi!! pole kwa shetani aliyejua atanishika milele!
 
Mods mwaka huu mjaribu kutenga jukwaa la walokole....wawe wanapeana maneno ya wokovu kwa raha zao....
 
any way its long story.. natumia simu ndogo siwezi kuandika vitu vingi... lakini ni visasi vya muda mrefu vya watu niliotoa siri zao..

Roho zao!!!!

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Mwaka 2014 nilipita katika misukosuko mingi ikiwemo kukoswa koswa kuuwawa mara kadhaa.. hata hivyo ni Mungu ndie aliyekuwa akinilinda kwa makusudi yake ili nimtumikie na kuwapeleka watu wengi kwa Yesu kupitia kazi yangu.. hivyo jana tar 1/1/2015 nimeamua kumpa Bwana Yesu kuwa mokozi wa maisha yangu.. najisikia amani sana na hofu yote imekwisha..
Mungu awabariki wana JF wote,
happy new year.
Safi sana
 
tungepata watu hasa vijana 5 kama nyie mnaojitangaza mmeokoka taifa lingebadilika

hongera kwa kuingia kundini na fanya kazi ya Mungu usiache na wala kukatishwa tamaa na wale wasiokoka

Hakuna binadamu yeyote chini ya jua wala kenge maji yoyote anaeweza kufanya hayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom