Jamani nimeamua kuokoka

Jamani nimeamua kuokoka

lara1 miss u naona likes zako tu.
 
Last edited by a moderator:
natamani kujua sababu za kutaka kuuwawa ujambazism au?

Ni kweli. Kutoa ushuhuda ni lazima ueleze ukweli wote ili na wengine waweze kukufata katika wokovu huo. Kama ulivyo uliza Evelyn Salt aseme wazi kwa ni nini kakoswa kuuwawa mara nyingi? Vinginevyo kuja kusema mie nimeokoka tuu haotoshi ni sawa na kusema mie nilikuwa nakula kitimoto ila kuanzia jana nimeacha.
 
Last edited by a moderator:
any way its long story.. natumia simu ndogo siwezi kuandika vitu vingi... lakini ni visasi vya muda mrefu vya watu niliotoa siri zao..

ooh pole mpendwa....hongera kwa kumpokea bwana yesu kuwa mwokozi wa maisha yako!!!
 
Umechagua fungu lililo jema cha muhimu omba neema ya kusimama kwenye huo wokovu maana ukianguka utakuwa mwovu zaidi ya ulivyokuwa mara ya kwanza
Pia jitahidi kuwa sehemu wanayomuhubiri kristo wa kweli na sio hao wasaka tonge wanaojiita manabii!
 
Umechagua fungu lililo jema cha muhimu omba neema ya kusimama kwenye huo wokovu maana ukianguka utakuwa mwovu zaidi ya ulivyokuwa mara ya kwanza
Pia jitahidi kuwa sehemu wanayomuhubiri kristo wa kweli na sio hao wasaka tonge wanaojiita manabii!

kweli kabisa akianza kutanga mara nabii miss chagga mara sijui gwajama , mara sijui upako kama ni wa kike watamfanya mapenzi
 
tungepata watu hasa vijana 5 kama nyie mnaojitangaza mmeokoka taifa lingebadilika

hongera kwa kuingia kundini na fanya kazi ya Mungu usiache na wala kukatishwa tamaa na wale wasiokoka
Mwaka 2014 nilipita katika misukosuko mingi ikiwemo kukoswa koswa kuuwawa mara kadhaa.. hata hivyo ni Mungu ndie aliyekuwa akinilinda kwa makusudi yake ili nimtumikie na kuwapeleka watu wengi kwa Yesu kupitia kazi yangu.. hivyo jana tar 1/1/2015 nimeamua kumpa Bwana Yesu kuwa mokozi wa maisha yangu.. najisikia amani sana na hofu yote imekwisha..
Mungu awabariki wana JF wote,
happy new year.
 
Pelekea Waumini Wenzio Jukwaa La Dini, Huku Mtombano Ndo Tunaelewana!...Umentoa Kwenye Mud Na Kujichoresha Kwako!

dini inahubiriwa mahali popote pale mwache atoe ushuhuda na dhamira iliyomfanya mpaka aokoke
 
Katika nchi za dunia ya tatu, dini zimegeuka kuwa kichaka cha kuficha uovu. Mimi nitafarijika sana kama jamii itabadilika kwa uwiano wa nyumba za ibada zinazojengwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom