Jamani nimeamua kuokoka

Jamani nimeamua kuokoka

Mwaka 2014 nilipita katika misukosuko mingi ikiwemo kukoswa koswa kuuwawa mara kadhaa.. hata hivyo ni Mungu ndie aliyekuwa akinilinda kwa makusudi yake ili nimtumikie na kuwapeleka watu wengi kwa Yesu kupitia kazi yangu.. hivyo jana tar 1/1/2015 nimeamua kumpa Bwana Yesu kuwa mokozi wa maisha yangu.. najisikia amani sana na hofu yote imekwisha..
Mungu awabariki wana JF wote,
happy new year.

Hongera sana!, umefanya uamuzi sahihi.Mungu azidi kuijenga imani yako ktk safari ya kwenda mbinguni.
 
umefanya uamuzi mwema na wa busara kupita yote mungu akutie nguvu uyashinde mapito kumbuka maombi na kusoma biblia ndivyo vitakufanya ukue kiroho jitahidi kila siku usome biblia sehem fulani.
 
Ni uamuzi wa busara ulioamua, linda sana/tunza sana wokovu uliopata, kumbuka hiyo ni tiketi umepata ya kusafiri ila uamuzi wa kuendelea kuitunza hiyo tiketi na kukaa ndani ya chombo unachosafiria ndivyo vitakuwezesha kufika mwisho wa safari.

Binafsi nilimpa Yesu maisha yangu nikiwa kidato cha pili 1988 mpaka leo sijajuta kuishi maisha ya wokovu, ni raha tu ninaofurahia. Japo majaribu na vikwazo vipo lakini mie nasonga mbele.
 
Badilisha id kwanza ndo tutaamini umeokoka, bwana yesu asifiwe
 
Mwaka 2014 nilipita katika misukosuko mingi ikiwemo kukoswa koswa kuuwawa mara kadhaa.. hata hivyo ni Mungu ndie aliyekuwa akinilinda kwa makusudi yake ili nimtumikie na kuwapeleka watu wengi kwa Yesu kupitia kazi yangu.. hivyo jana tar 1/1/2015 nimeamua kumpa Bwana Yesu kuwa mokozi wa maisha yangu.. najisikia amani sana na hofu yote imekwisha..
Mungu awabariki wana JF wote,
happy new year.

Fake I'D lazima na maelezo ya post yako ni feki
 
Mwaka 2014 nilipita katika misukosuko mingi ikiwemo kukoswa koswa kuuwawa mara kadhaa.. hata hivyo ni Mungu ndie aliyekuwa akinilinda kwa makusudi yake ili nimtumikie na kuwapeleka watu wengi kwa Yesu kupitia kazi yangu.. hivyo jana tar 1/1/2015 nimeamua kumpa Bwana Yesu kuwa mokozi wa maisha yangu.. najisikia amani sana na hofu yote imekwisha..
Mungu awabariki wana JF wote,
happy new year.

umekaribia kufa wewe!
 
Wow. Hongera sana. It is the best thing and the best choice you have ever done in your life.

Jesus is all that you need in your life.

You will never regret it.
 
kuokoka ni kuitakasa roho yako na kutubu shidi ya matendo yote mabaya uliyowai kuwatendea binadamu wezako" ni bora ungefunga siku kadhaa kwa ajili ya maombi kwa mwenyezi mungu wako ili akusamahe na uanze maisha mapya.
na unaweza kuokoka bila kujitangaza apa jf kwasababu matendo yako ndio yatakayokuthibisha wewe kuwa kwenye kundi la waokovu
 
Watu wana matatizo sana
wewe master plan una matatizo hasa kwani hoja yangu inakuhusu nini mpaka uingilie kama sio kutafuta watu ubaya bure hapa nimerekeka toa hoja yako sio kuingilia hoja za wenzio na kukashifu hovyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom