njang'et
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 758
- 227
siyo ikibidi...walio okoka hawana mambo ya nyuma ya pazia...wako wazi!!badili ID na uweke picha yako...
Ni rahisi ngamia kupenya ktka tundu la sindano kuliko huyo Mtumishi kuweka ID yake ya ukweli.
siyo ikibidi...walio okoka hawana mambo ya nyuma ya pazia...wako wazi!!badili ID na uweke picha yako...
Ndio ameianza safari ya kuufikia ukamilifu si unajua safari ni hatua bila kupiga hatua huwezi kufika kwa hiyo tumpongeze
Ndio ameianza safari ya kuufikia ukamilifu si unajua safari ni hatua bila kupiga hatua huwezi kufika kwa hiyo tumpongeze
siyo ikibidi...walio okoka hawana mambo ya nyuma ya pazia...wako wazi!!badili ID na uweke picha yako...
tunataka tumtambue pia kwa matendo yake...si kwa kile akisemacho tu!Tayari yuko wazi,unafikiri kuja hapa barazani na kumtangaza Kristo live sio mchezo, huoni kuwa jamaa ameshaanza kazi ya kuchapa injili hapa jamvini?
Watu wanamaliza pages kusoma huu uzi kwa sababu Yesu ametajwa hapa. Mkuu kama umeokoka kweli, usirudi nyuma, chapa lapa, mbele kwa mbele.
Injili popote, hata jf uwe unatupia tupia kiaina kama ulivyofanya leo.
tunataka tumtambue pia kwa matendo yake...si kwa kile akisemacho tu!
nina mashaka na anacho kisema...kwa nini anasema akiwa kajificha...biblia takatifu inaonya kuhusu wanao muonea aibu...naye atawaonea aibu mbele za baba yake...Kwa hiyo kile alichosema umepokea?
nina mashaka na anacho kisema...kwa nini anasema akiwa kajificha...biblia takatifu inaonya kuhusu wanao muonea aibu...naye atawaonea aibu mbele za baba yake...
Kwani ulikuwa hujui.
Bado haujathibisha kuwa allah ni Mungu.
Kwani sasa hivi dunia kamuachia nani?
Mungu akubariki sana Ndugu. Karibu katika Maisha ya Ushindi na yenye uhakika baada ya kifo.Mwaka 2014 nilipita katika misukosuko mingi ikiwemo kukoswa koswa kuuwawa mara kadhaa.. hata hivyo ni Mungu ndie aliyekuwa akinilinda kwa makusudi yake ili nimtumikie na kuwapeleka watu wengi kwa Yesu kupitia kazi yangu.. hivyo jana tar 1/1/2015 nimeamua kumpa Bwana Yesu kuwa mokozi wa maisha yangu.. najisikia amani sana na hofu yote imekwisha..
Mungu awabariki wana JF wote,
happy new year.
Haujajibu swali.(alipokuwa anakata roho pale msalabani akatamka )..........Baba mikononi mwako naiweka roho yangu ! :A S wink:
Haujajibu swali.
1. Yesu kamuachia nani hii dunia?
2. Zaidi ya hapo, leo umeikana Quran na kukubaliana na Biblia kuwa Yesu alikufa Msalabani.
3. Vilevile, leo umekubalia kuwa Yesu ana Baba na kuipinga Quran yako inayosema kuwa Yesu hana Baba.
KARIBU KWA YESU NDUGU, maana sasa umesha elewa kuwa Yesu alikufa, na anaye Baba na ndie Mukulu wa Wakulu wote.
stress zimeisha ndugu tangu jana... maana hakuna hukumu ya dhambi kwa hao waaminio karibu na wewe.